Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 808
- 878
- Thread starter
- #21
Ni dada wa mkubwa wangu mototo wa mama mkubwa.Salamu zimefika.Samahani ni Dada au ndugu yako wa karibu?
Wasalimu Wana Gamba kuanzia Busumbiro wa Bunda na Majita-Makojo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dada wa mkubwa wangu mototo wa mama mkubwa.Salamu zimefika.Samahani ni Dada au ndugu yako wa karibu?
Wasalimu Wana Gamba kuanzia Busumbiro wa Bunda na Majita-Makojo!
Alizaliwa musoma miaka ya 1979-1980.Baba yake anaitwa Juma Michael.Mzee Juma alikuwa askari magereza-Musoma miaka ya 1980 na mkazi wa mtwara.Mama yake Anna alikuwa ni mnyiramba wa singida.Kama kuna mtu anamjua au yeye mwenyewe yupo naomba tuwasiliane anaweza kusaidia kupatikana kwa taarifa za mzazi wake mzee Juma,ambaye anatafutwa na kijana wake.
Acha kua negative.
Kila la heriNashukru sana wana bodi kuna member amenipigia ana details juu yake alikuwa rafiki ya baba yake na kuna tetesi yuko mbozi,anaumwa,nikishakamilisha kila kitu nitakuja kuwajuza.Asanteni.
Hii ndo raha ya JF bhanaNashukru sana wana bodi kuna member amenipigia ana details juu yake alikuwa rafiki ya baba yake na kuna tetesi yuko mbozi,anaumwa,nikishakamilisha kila kitu nitakuja kuwajuza.Asanteni.
Kila la heri aisee na tunaomba mrejesho.Nashukru sana wana bodi kuna member amenipigia ana details juu yake alikuwa rafiki ya baba yake na kuna tetesi yuko mbozi,anaumwa,nikishakamilisha kila kitu nitakuja kuwajuza.Asanteni.
hahaa acha kumkatisha tamaa basiItakuwa Anapiga Stori Na Mzee Majuto Huko Aliko! Maana Maisha Haya Yenyewe Mafupi Mkuu, Si Unajua Tena.
Hata Dadaye Jiwe Kafia Pale Bugando, Juzi Tu.
Karibu sana " hii ndio JF ....hakiharibikagi kitu hapaNashukru sana wana bodi kuna member amenipigia ana details juu yake alikuwa rafiki ya baba yake na kuna tetesi yuko mbozi,anaumwa,nikishakamilisha kila kitu nitakuja kuwajuza.Asanteni.