Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

Nipo hapa...nikutumie mtandao upi mzee baba? Airtel,voda, halotel,tigo?na ni shangazi🤤😔
 
😂😂
Ahsante mdogo wangu ila nataka kuona miti ikiwa inarudi nyuma kwenye ABC Luxury Coach..!!
😆😆😆😆😆
Ndoa tunafungia Maldives islands ndio maana ntaka nkupandishe ndege maana ABC luxury hamna

Halafu honeymoon Borabora😌
 
Halaf ww tabia ya kutusagia kunguni ntakuroga siku moja
Sasa dnt u think it will be better to direct huko kuroga kwa hao wanaume wanaotaka kuoa wakuoe jamani kuliko kupoteza nguvu kwa mzabzab ambaye hana mbele wala nyuma kama mche wa sabuni
 
Sasa dnt u think it will be better to direct huko kuroga kwa hao wanaume wanaotaka kuoa wakuoe jamani kuliko kupoteza nguvu kwa mzabzab ambaye hana mbele wala nyuma kama mche wa sabuni
Jomba hii kitu naona ni neshino mwenyewe nini anataka kuaga ukapera kiaiana unajua sijaamini...
Ila Sasa kigezo ni yoyote anayepumua ndo uwiii ilipo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…