Unataka uje unitangazewe fanya hivyo achana na hizo mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka uje unitangazewe fanya hivyo achana na hizo mambo
Semaga ukwel we mwanaume na simu umezimaHapana kipenzi, nichakate ipi Tena wakati kwako nishatosheka kwa kila halii. Missed you🌹
Alafu National Anthem acha uchokozi😊😊
Mama Elisha umesimamia ngapi sasa😂Siku hz matron na patron sio lazima wawe mke na mume
Me namsaidia mshkaji kupata jiko baridi kali ujueMama Elisha umesimamia ngapi sasa😂
Mamii I was real occupied today. Hivi nilishawahi kukudanganya mie.....?😊Semaga ukwel we mwanaume na simu umezima
Una ujinga sana ujue🤣Me namsaidia mshkaji kupata jiko baridi kali ujue
We si unatuponda. Dawa kukushusha mshipa
Hii baridi ukijichanganya tu unaoa....yaani hadi duvet halifui dafuUna ujinga sana ujue🤣
Usinihukum kabla hujanipa nafasUnataka uje unitangaze
Kijana, muda si mrefu si wewe ndo umetoka kutangaza 'Death warrant' kwa kila unaemnyandua, vp tena unataka utumalizie warembo na maajuza wetu humu pia?N:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri (daraja la kati)
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: Yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapokutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Mbona husemi walio olewa ma Elisha😂Hii baridi ukijichanganya tu unaoa....yaani hadi duvet halifui dafu
Mliooa mna raha sana
Nmewaunganisha hapoMbona husemi walio olewa ma Elisha😂
Kumetokea nini tena ,🫣Mamii I was real occupied today. Hivi nilishawahi kukudanganya mie.....?😊
Oya National Anthem umeyataka huku njoo usuruhishe maana naona mkalia ini amepanic hapa😩
vipi rafiki jioni.. karibu hapa tupate hata tangawizi . vipi hujaanza zoezi la kukimbia niwe nakupitia asubuhi 😊Eeeh Yani Kwa udi na uvumba?
My friend ni hii baridi tu ikiisha utakuja futa huu Uzi hahhahaah
Wanajua Babu yao sina mambo mengi, Babu nimezeeka kila kitu 😅🏃🏃🏃Nimecheka sana Anne🤣🤣 kwa hiyo mimi, mzabzab, National Anthem na Mzee wa kupambania unatuonaje?🤣🤣. Haya muongeze mzee mwenzangu Grahams ili tukamilishe "utano mtukutu"!
tuambie kwako wapi tuje hata sasa hivi 😅😅Serious mwambie amepata...ikiwezekana wknd aje kwanza kwangu...maana kodi nayo inakaribia kukata....aje tu....siendi tena uturuki aise
Bunju b😊..pitieni na ka wine shangazi nipate kulala😊tuambie kwako wapi tuje hata sasa hivi 😅😅