Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Alionja ?????Sio kweli, mie na mwana tumeshibana sana toka utotoni kama pachaa yani, mie wife wangu yeye ndio alinipa connection na nipo nae hadi leo 😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alionja ?????Sio kweli, mie na mwana tumeshibana sana toka utotoni kama pachaa yani, mie wife wangu yeye ndio alinipa connection na nipo nae hadi leo 😊😊
Kwa usalama penyewee... 😅😅Ni poja ya sehemu yangu mara chache ni salama sana pale
hapana hajaonja hataAlionja ?????
😂Hapa umetuchora mkuuWangu yupo humu jamvini mbona na id yake ipo active kabisa ..
Kuna mijitu ikilewaga inaleta fyoko inatolewa taratibu inaenda kunyooshwe mbali kidogo😂Kwa usalama penyewee... 😅😅
hakuna mtu analeta fujo pale . heshima mwanzo mwisho
Kwani kuwa over 30 ndo nini jamani? Mbona mabinti huwa mnapenda kujipa presha za bure tu? 😳I have a friend aisee yuko over 30 natamanigi aolewe saaana jaman nikupe namba yake ila hayuko dar yuko lindi kwa sasa ni mkatoliki pia ameokoka
Alikuwa demu wake kisiri akaona wewe ndio muhitaji ukapangwa ukaoa pole kataa kubali ndio ukweli wenyewehapana hajaonja hata
Braza we ni fala Sana Yaani ,nmecheka kinyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mi Kuna rafiki yangu anatafuta mke kama kuna mwanamke Yuko tayari anicheki ila itategemeana akiwa mzuri Sana itabidi awe wangu akiwa wa kawaida ntampa jamaa yangu
njoo pm tuyajenge.. nikuunge na mtaalamuSamahani sana maana ulikuwa unanisadia ila huyo jamaa anatafuta mke au demu wa kafara swali tu nipo serious kabisa
Nipo online tu mbonanjoo pm tuyajenge.. nikuunge na mtaalamu
kweli inawezekana . si unajua haina makombo 😊😊Alikuwa demu wake kisiri akaona wewe ndio muhitaji ukapangwa ukaoa pole kataa kubali ndio ukweli wenyewe
uje pm hapa public kila mtu anaona 😊Nipo online tu mbona
Habari babu ,sijakuona long timeKwani kuwa over 30 ndo nini jamani? Mbona mabinti huwa mnapenda kujipa presha za bure tu? 😳
Nenda ukauzwe figo😂Samahani sana maana ulikuwa unanisadia ila huyo jamaa anatafuta mke au demu wa kafara swali tu nipo serious kabisa
😒😒 usimtishe mtoto mzuri Unique Flower ... aje tu atapendwa sanaNenda ukauzwe figo😂
Marahaba mjukuu wangu.Habari babu ,sijakuona long time
Shikamoo !!
Ah pole sana babu ..Marahaba mjukuu wangu.
Mimi nipo ni hekaheka za maisha tu zimenizidia.
Natumaini kuwa hata kwako huko kila kitu kiko sawa.
Barikiwa sana mjukuu wangu mpole usiye na makuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]