National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
- Thread starter
- #441
atakuwa ana muangalia tu.. huku wanasubiri ndoa..katika hatua zote hizo atakuwa anaM,LA au anamwangalia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa ana muangalia tu.. huku wanasubiri ndoa..katika hatua zote hizo atakuwa anaM,LA au anamwangalia tu
unaangalia popote mkuu, na kule kapata piaKwenye uzi wa warembo hujapata?
Hamna ambae nime mla mkuu, humu ndani.Hujatosheka kuwala dada zangu wa jf?
Haya peleka moto kijana
hakuna kinachoshindikana baby 😊Wee ankolii bhanaaa, itawezekanajeee??
😅😅😅 3some inapigwaa tuuu..Nilitamani ipigwe 3some sema namheshimu shemu ake 😅
Lakini Mimi mbona nilipoa hata kabla ya mahusiano[emoji23][emoji23][emoji23]Hongera kwa kupata ujasiri wa kufanya biashara, lakini hilo la kuwa na boyfriend/girlfriend huwa linawafanya wengi ku-lay low, na nilihisi namna hiyo.
Just be you, unless mmekubaliana! Ngumu sana kuishi tofauti na uhalisia wako. Mbona wengine tunaonekana na hakuna tatizo...Lakini Mimi mbona nilipoa hata kabla ya mahusiano[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema ukorofi kwa kiasi kikubwa nimepunguza ili kumlindia mwenzangu heshima aliyonayo.
Ugomvi niliacha kitambo sana hata kabla sijawa na mahusiano humu.,ni kwamba tu Kuna baadhi ya scenarios zilinibadilisha sanaJust be you, unless mmekubaliana! Ngumu sana kuishi tofauti na uhalisia wako. Mbona wengine tunaonekana na hakuna tatizo...
Safi sana Anne!! Mpunga lini sasa[emoji16]Ugomvi niliacha kitambo sana hata kabla sijawa na mahusiano humu.,ni kwamba tu Kuna baadhi ya scenarios zilinibadilisha sana
I can't pretend ,nipo vilevile.
Kuhusu kupotea ni ubusy
Majukumu ya familia, biashara na kazi.,ko najikuta nachoka sana.
Tushakula kitamboSafi sana Anne!! Mpunga lini sasa[emoji16]
Kwa hiyo jf imeleta kitu eeenh, hongereni sana aisee, sasa nisipende hizi stori nipende DP World kweli?😀😀Tushakula kitambo
Si ndio familia hiyo nalea ndoa imeshazaa matunda😂
Unaenda hizi stori 🤣
Kwahiyo uliyoona kimya ,moja kwa moja ukaanza kuniwazia ujinga 😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo jf imeleta kitu eeenh, hongereni sana aisee, sasa nisipende hizi stori nipende DP World kweli?[emoji3][emoji3]
Kumbe hadi Jr kaja, hii process imeenda faster sana😁😁😁 hongereni sana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jf imeleta Kajunia
Mbona humuulizii shemegi?[emoji23]
Au ndio swali linalofuata?
Acha wapemba watunyooshe,
Alitokea mzalendo wa kweli kuwapigania wanyonge hadi akapoteza maisha,watu wakasema wao si wanyonge na wakafurahia kifo chake.
😂😂😂😂Kumbe hadi Jr kaja, hii process imeenda faster sana😁😁😁 hongereni sana!
Oyaaa nimecheka kikouma 🤣🤣🤣Hata mi Kuna rafiki yangu anatafuta mke kama kuna mwanamke Yuko tayari anicheki ila itategemeana akiwa mzuri Sana itabidi awe wangu akiwa wa kawaida ntampa jamaa yangu
😂😂😂Kikubwa awe anapumua tu au sio?hii shemeji ilinipita
Wadanganye wengine sio mimi mkuu.Hamna ambae nime mla mkuu, humu ndani.
[emoji2]wawili tena!! atawapeleka wapi woteMkuu sio mimi. Jamaa yupo kwenye vetting.. nimeona na huku anaweza pata wawili watatu huwezi jua..