sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Huku unafikaga???Habari babu ,sijakuona long time
Shikamoo !!
Hujambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku unafikaga???Habari babu ,sijakuona long time
Shikamoo !!
Mara moja moja nimeona upo trending hapo nikasema nipitieHuku unafikaga???
Hujambo
Hapana, hatujipi presha ila wanaume wengi si mnapenda below 30 ye mwenyewe nilimwambiaga nikipata mtu anahitaji mchumba nakuungsnisha anasema kabisa mwambie niko over 30 tena over 35 ili mtu ajueKwani kuwa over 30 ndo nini jamani? Mbona mabinti huwa mnapenda kujipa presha za bure tu? 😳
Njema saana.Mara moja moja nimeona upo trending hapo nikasema nipitie
Sijambo habari yako kaka ??
Bado sema nahisi huko inbox kumejaa 😂😂😂😂.Njema saana.
Hivi hii fursa inakupita kweli?? Fanya fanya kuyajenga....au tayari
JidanganyeKumetokea nini tena ,🫣
new gal kachoka na mchoko wa kazi tu, akipoa mambo ni yente yentee
HahahahaBado sema nahisi huko inbox kumejaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitaki kujichosha aisee 😂😂Hahahaha
Kuna Ile kitu inaitwa bahati....
Out of 1000 pm...
You never know...
Yeeees....Sitaki kujichosha aisee [emoji23][emoji23]
Hiyo ya kuunganishiwa no
Thanks anyways
👏👏Yeeees....
Hilo nalo neno.
🤣🤣🤣Wewe hapo.
Nikitaka kukutana na wewe kukusalimia
Napita tu nyuzi za hivi.
Najua siwezi kukukosa Kaka Elli
Nilitamani ipigwe 3some sema namheshimu shemu ake 😅anasoma hapa huku anachekaaa kweli kweli 🤣🤣
Wee ankolii bhanaaa, itawezekanajeee??mie basi nijiegeshe kwako [emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaMwambie asilimu, akate govi, aanze kusali sala tano, nimpe toto la uhakika. Lina sifa njema zote Ma shaa Allah.
Hakuna pm wala nini, anakuja nyumbani anamuona binti mubashar, ana kwa ana, mbele yetu. Hakuna mambo ya kuongea faragha na binti ambae hajamuoa. Aje hata mara mia, sharti ni hilo.
Huo ndiyo uchumba pekee niujuwao mie.
Kabla ya kuja aseme kabisa, kama yeye bikra, tumweke mchumba bikra, kama kishakubuhu huko, tumweke mchumba aliyekwisha kubuhu.
Hakuna longolongo.
Tena tutamfundisha akija aje vipii, watu wa pwani tuna namna zetu.
Asante mdogo wangu, ila na wewe umepoa sana siku hizi.Wewe hapo.
Nikitaka kukutana na wewe kukusalimia
Napita tu nyuzi za hivi.
Najua siwezi kukukosa Kaka Elli
Aliyesema tunapenda below 30 nani huyo, aah kweli wapo wanaopenda...wengine tunapenda 30+, yaani hapo timefika!!Hapana, hatujipi presha ila wanaume wengi si mnapenda below 30 ye mwenyewe nilimwambiaga nikipata mtu anahitaji mchumba nakuungsnisha anasema kabisa mwambie niko over 30 tena over 35 ili mtu ajue
Ooh baso she is uncomfortable anaona kachelewa namuombea Mungu ampe mume kwanza kabla hata ya mimi unless si mapenzi ya Mungu ye kuolewaAliyesema tunapenda below 30 nani huyo, aah kweli wapo wanaopenda...wengine tunapenda 30+, yaani hapo timefika!!