Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ww jifiche tu humu wengi wadangaji mtu anaomba amateur walau mwanaume mwenye pesa humu wanaume waongozwa kukataliwa ni walimu kuna jamaa mmoja amelizwa wa bandari sasaiv ata jukwaani anapita tu kama kaona nyoka
 
Ww jifiche tu humu wengi wadangaji mtu anaomba amateur walau mwanaume mwenye pesa humu wanaume waongozwa kukataliwa ni walimu kuna jamaa mmoja amelizwa wa bandari sasaiv ata jukwaani anapita tu kama kaona nyoka
Mbona wengine hatuna bahati sasa.. ya kupata wadangaji na huku tunajua kuhonga kinomaaa yaani tukizimakataaa.. maama wengine maneno hatuna 🤣🤣🤣 nifanyie wepesi PM mzee na haka ka mvua ka leo dar
 
I have a friend aisee yuko over 30 natamanigi aolewe saaana jaman nikupe namba yake ila hayuko dar yuko lindi kwa sasa ni mkatoliki pia ameokoka
penyeza namba PM ( namba tu, picha hazitakiwi ). wakipendana wakashibana wao ni watu wazima wanaweza ona watafanyaje kuanza maisha pamoja na kuishi pamoja..
 
Back
Top Bottom