Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hela za nini wakati nakuja kwa mtoto wa dada π€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela za nini wakati nakuja kwa mtoto wa dada π€£
πππ em kwendaHela za nini wakati nakuja kwa mtoto wa dada π€£
Usicheke, karibu PM nikuintroduce ulimwengu ambao hujawahi kuufikiria Mremboπππ
Nimemaithi kuthikia kithembe chako najuta kupoteza simu yaani unipigiinhata kwa bahati mbaya sikuizπππ em kwenda
haina noma mkali fanya hivyoPM zikiwa nyingi nitashare na wewe bro
Huenda rafiki. Ila ngoja aje aseme aisee.Rafiki ! Kuna vitu tu mtakuwa mmemkosea .. haiwezekani awe na kauli za hivyo bila sababu.. au mzabzab ulitendwa na kupigwa tukio na mafia alie bobea nini humu Jf π π
Hivi rafiki hapa pia unataka kusema unamsemea huyo rafiki yako? π π πuzuri jamaa mipango yake akishalipa mahala baada ya mwezi ndoa.. hataki biashara za michango michango..
aisee rafiki ! sidhani kama mzabzab atakuwa na sababu za msingi.. zitakuwa kanyimwaa anavyotaka π π .. anasahahu kupewa sio lazima chakupewa sio chakoHuenda rafiki. Ila ngoja aje aseme aisee.
Na pia rafiki ikitokea ana sababu za Msingi nitajitolea kumtaka radhi ili hii chuki aliyonayo iishe. ππ
huyu sio mimi kabisa rafiki. π π πHivi rafiki hapa pia unataka kusema unamsemea huyo rafiki yako? π π π
Hahahaaa! Muone. πhuyu sio mimi kabisa rafiki. π π π
Mie pia rafiki yangu aliniunganisha na mke wangu wa sasa.. alafu nae wife ni mwana jf.. nikaona na yeye nije mtafutia humu humi
Aiiiiii mambo hayouzuri jamaa mipango yake akishalipa mahala baada ya mwezi ndoa.. hataki biashara za michango michango..