Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wewe hutaki tako? ๐UTI af wanadanga kama wapo kwa wahaya wanakazi ya kupiga picha makalio na kuwapostia wanaume pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hutaki tako? ๐UTI af wanadanga kama wapo kwa wahaya wanakazi ya kupiga picha makalio na kuwapostia wanaume pm
Mume wa kutafutiwa ๐๐๐๐๐๐๐ hakika .. vipi mpendwa hutaki mume wa pili, na mie nitume cv kwako ๐คฃ๐คฃ
Tumia PESA (short cut) kuwapata. Hutatumia maneno mengi kama hiviN:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza ( life partner ). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri ( daraja la kati )
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapo kutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Kumbe huwa inanoga.Na huwa vinanoga ๐๐
Nimeokoka mkuuWewe hutaki tako? ๐
Safi sana na ahsante kwa kuyarudia niliyoyasema kimuono wako.Dirham tumeanza itumia mda tu , na tuna honga kwa dirham toka zamani.. Ukiona mtu anashobokea dollar ujue limbukeni badoo . .
na sie wababa hatutaki urafiki ni kupotezeana mda ilhali tunaweza tumia tech kama ya DP World kufanya mambo kwa wepesi.. mitongozo imepitwa na wakati..
Tuna sign deal tunamaliza kazi ... Alafu wa Kona Bar ndio pia wengine wapo JF .
Huna rafiki yako anaependa hela nimuunganishe na jamaaa
Kabisa af manzi wa jf watamu sana sijui kwa niniUkute najimilikia bebe mmoja matata
Tako na mbususu haina cha kuokokaNimeokoka mkuu
Upo sawa kabisaa ...Safi sana na ahsante kwa kuyarudia niliyoyasema kimuono wako.
Havuliwi mtu chupi bila ndoa.
Ndoa ndiyo huo mkataba wenyewe.
Mambo kwa Dirham tu.
DP World Hoyee
Sawa tajiriTumia PESA (short cut) kuwapata. Hutatumia maneno mengi kama hivi
๐ ๐ ๐ ๐ Mume wa pili si mie mwenyewe hapa nitume CV kwako.. uone kama nafaaa maana uzuri CV yangu ipo tuMume wa kutafutiwa ๐๐๐
Jamaniii ๐๐พโโ๏ธSi umesema ni rafiki yako anatafuta mukeee๐๐๐ ๐ ๐ ๐ Mume wa pili si mie mwenyewe hapa nitume CV kwako.. uone kama nafaaa maana uzuri CV yangu ipo tu
kama mie wife wangu ni active member wa jf ..๐ ๐Hawa warembo wa jf wanatakiwa wapate mabwana wa humuhumu jf inanoga kinyama
Ana moyo wa chuma wifi yetu ๐ฌ๐๐kama mie wife wangu ni active member wa jf ..๐ ๐
Inapendeza mpe salamu shemeji yetu ๐kama mie wife wangu ni active member wa jf ..๐ ๐
rafiki yangu atafuta mke, ila na mie nataka nilete cv yangu kwako, mnaruhusiwa kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja ๐๐ niwe mume mdogoJamaniii ๐๐พโโ๏ธSi umesema ni rafiki yako anatafuta mukeee๐๐
Mshikaji ameweka kigezo sahihi Cha ndoa.N:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza ( life partner ). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri ( daraja la kati )
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapo kutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.