Yule njemba aliyezaa naye kwa sasa mbona hayupo naye? Ama wameitilafiana kimaisha? Funguka mleta uzi,kwani maswali ni kwako na kama ni wewe mwenyewe usisite kujuza hili!
Dady......iam everywhere!!!!
Kuna ujanja umezuka hapa JF. Kila mtu utamsikia...rafiki yangu anataka vile, rafiki yangu anashida hii............KUMBE MUANDIKAJI NDO MWENYE MAHITAJI... Huyo rafiki yako naye ana vigezo kama anavyovitaka huyo mwanaume awe navyo?Kwenu wanajamvi!
Kichwa cha habari chahusika hapo juu
Ni rafiki yangu sana, mdada ana miaka 36, ana watoto wawili, anatafuta mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli, upweke umemchosha. Yeye ana kazi yake nzuri tu, ana kausafiri kake na kamjengo kakujisitiri, so kimaisha yuko poa tu anachomisi ni mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli.
Sifa za anaetafutwa:
1. Awe mkristo mchanga Mungu na mwenye hofu ya Mungu
2. Awe tayari kupima VVU
3. Awe na mapenzi ya kweli na mwaminifu
4. Asiwe MUME WA MTU but kama anawatoto anakaribishwa
5. Asiwe mvuta sigara wala mlevi (bt anaweza kuwa anakunywa lkn sio kulewa talalila)
6. Awe mchapakazi/mtafutaji/mhangaikaji
7. Awe ni mwanaume kamili/lijali
Kwa mwanaume aliye serious ani-PM nami nitamuunganisha na mhusika
Nwasilisha!
Kuna ujanja umezuka hapa JF. Kila mtu utamsikia...rafiki yangu anataka vile, rafiki yangu anashida hii............KUMBE MUANDIKAJI NDO MWENYE MAHITAJI... Huyo rafiki yako naye ana vigezo kama anavyovitaka huyo mwanaume awe navyo?
Shost, huyo rafiki yako akizidiwa na waombaji mwambie wengine awaangushie huku kwangu!
Baba Enock, wanaume wapo tatizo ni kwamba wengi wao hawajatulia, sio waaminifu n.k
Wapendwa wanajamii, kwanza pokeeni shukrani za dhati kutoka kwa my friend mwenye nia ya kweli ya kupata mume, lakini pia shukrani za pekee ziwaendee wanaume wote walioonesha interest ya kutaka kuwa nae, shukrani hizi ni kutoka kwa mtafuta mume, anawashukuru sana sana.
Anachoomba sasa amesitisha kupokea maombi,anahitaji muda wa kuwasiliana na hawa ambao wamejitokeza kwani maombi ni mengi, kama hatapatikana basi atarudi tena kuendelea kupokea maombi mangine na kama atapatikana pia atakuja kupitia hapahapa kuleta shukrani zake.
Nawasilisha!
Mamito ram mwambie shosti wako ajitahidi next time ajitokeze yeye mwenyewe, aidha amempata ama hajampata wa kufanana nae!