ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
- Thread starter
- #41
Njemba walihitilafiana na kila mtu akachukua ustaarabu wake, ila njemba alishaoa pande zingine kabisa
Yule njemba aliyezaa naye kwa sasa mbona hayupo naye? Ama wameitilafiana kimaisha? Funguka mleta uzi,kwani maswali ni kwako na kama ni wewe mwenyewe usisite kujuza hili!