Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah hizo zilikuwa figisu tu za "Ugimbi", ila bado zinatambulika.hizo likizo hazipo tena serikalini.
Mnapenda Ualimu sana eeh.Hiyo hela ni ndogo sana kuliko risk anayotaka kutake, angalau ingekuwa million 3 per month, ila eti chini ya million 2, Hapana abaki na ualimu wake
Sasa E Laki sita inafika , labda Kama ana mkopo bankTake home ni kama haifiki hata 600k due to makato ya bodi + makato mengine ni E
Ina maana zimeondolewahizo likizo hazipo tena serikalini.
Hakuna anayependa ualimu mkuu.Mnapenda Ualimu sana eeh.
Hii ni weakest carrier
dogo keshaanza kazi huko. wanampa allowance za kutoshaHakuna anayependa ualimu mkuu.
Ila kabla hujakurupuka kufanya jambo lolote anza kufanya benefits analysis hii itakusaidia kutoangukia pua mbeleni
🤣🤣🤣🤣🤣kuitwa usaili tu ndo umewaza na kuacha kazi,,, vipi ukiipatahiyo kaxi ya UKAID si utachoma shule na wanafunzi
Mbona ata walim wanazeeka masikinAkipata hiyo kazi aache kazi ya ualimu, hayo mambo ya sijui ukitoka serikalini kurudi ni ngumu ndio unaishia kuzeeka masikini !
Mdogo wako kakuambia yote hayo au?Ni fixed term kwa miaka miwili miwili.