Amfuate mkuu wake..amueleze abcd
wafanye mapatano ya siri.
Amuahidi kwamba atakuwa anamchana laki kila mwezi.
(kazi ikipatikana)..
mkuu atampa ruhusa kwamba anauguza mtoto/mke/mzazi au hata yeye siku14.
Yeye akaanze kazi mpya..14 days zikiisha mkuu anaongeza tena juu kwa juu.
Wakt huohuo achukue laki moja apeleke kwa ps 'mwerewa' masjala au ps wa DRHO..Ili umuingze kwny mpango wa majina ya wanaoenda kusoma 2021/22.
Release letters hutoka kuanzia mwezi wa tisa.
kazi imeisha.
Note:
bila kujiongeza atasubiri sana bongo hii.na tatzo la walimu ni wazito kweli.
Usione watu wanatokea kwny mikeka ya teuzi ukafikiri inatokea kwa bahati no no
Watu wanatoa hela, wanajipendekeza, wanashona trakasut na kukesha kwny mwenge, wanapeleka mbuzi nk
Kazi hyo utaenda fanya,
na huku shule mshahara utaendelea kufuloo mpaka mkataba utaisha