HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
ntajitahdi kumuelekeza afanye hvyo akianguka matibab yataanza tena
Kama mzito asifanye hivyo mm nimezoea kupanda juu na kuchuchumaa maana mambo ya vyoo vya kukaa tena hostel a lot of people kuna kuambukizana si nikaamua nafuta vizuri napanfa juu mambo kama kawa
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums