Anataka kuja kwangu wakati sina hata godoro nalala chini, kwake nilikwenda nikakuta ana maisha mazuri

Daaah πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Kuna watu ni wakorofi sana hasa wewe hapo l..
Mi sio totoo mi ni above 20 aiseee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ
Weeeh kumbe katoto hiviπŸ™†πŸ™†
 
Acha aje muda utaongea yeye anafuata promising future kwako jikite huko muonyeshe kwamba wewe mpambanaji hapo unajipanga tu....sio level yako
 

Ni mtihani kwako wa kutambua iwapo unataka kuwekeza kwenye uhusiano au vitu.

Ushauri; wekeza katika uhusiano wako; kesho kutwa utashangaa.
 
Mwambie ata geto sio lako ni la kuazima,, kuepushia aibu ya icho kigodoro,, mwambie wewe ni kama yesu tu huna pakulala,,, unalalaga lindo,, nenda kaazima iphone 15, uwe nayo siku anakuja ili ajue sio kwamba umeshindwa kumiliki geto labda hupendi tu
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ hii ni chai iliyochanganywa na alikasusu walah.
Kivipi mkuu? Kuna wanawake wamechezewa,na wanatamani mtu wa kusupport,mkweli,si wa kuazima geto. Kikubwa asiwe amejimwambafai. Na kama kumruhusu,kwanza amwambie uhalisia wa maisha yake. Kwani kususwa kisa huna kitu,si kawaida tuuuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…