Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Kati ya vitu huwa sipinganj navyo ni maamuz ya mtu juu ya mwili wake na ukaribu na mtu. Akisema sikutaki mm siwez kupinga naacha aende

Ila kwa hapo anajitafutia matatizo ya maisha yake yote
 
Tembea uone
 
No wonder watu wanajua ukatili mpaka tunaulizana mbona binadamu wamegeuka kuwa wanyama? Huyu mwamba akija kustuka itakuwa hatari sana, huyu binti hajafanya sawa!
wanwawake wa namna hiyo watalipwa na Mungu tena kwa haki
 
kuna baadhi ya post unaweza kuzisoma hadi zikadhihirisha uwepo wa shetani na kazi zake.

»huyu mdada aache kumpotezea mshikaji ramani

»umaskini wa binti ndo umemuangusha mshikaji.

»kwa sababu huyo binti anatafuta miti ya kumridhisha na si mapenzi ya kwel, kama changamoto ni kwa mwanamme walitakiwa wakae waimalize, lakn mwanamke kajipata.
HICHO NDO KIBURI CHA PESA.
HVO HATUWEZI KUCHUMA DHAMBI KWA KUSHIRIKI UMALAYA KWA KUTOA USHAURI WA KIMALAYA, HAPO HAKUNA CHANGAMOTO WALA NJIA PANDA BALI NI ROHO YA UMALAYA.
 
Tamaa ilimponza fisi aendelee yatamtokea puani ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…