Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Huyo mwanamke yupo njia panda sababu ya tamaa zake.... huwezi panda farasi wawili! Mwanamke mbaya sana na katili huyo... sipati picha siku jamaa akijua ushenzi wake huo!!! Kweli wanaume tuna kazi
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Mwambie mpaka kufikia hapo, Atakufa muda wowote kuanzia Sasa.
 
Kwann😂😂😂
Kamsaliti Kwa muda mrefu, kazalishwa watoto wote watatu wasio wa Mumewe, Mume wake amemtunza muda wote huo yeye na watoto ,kawekeza muda na Mali zake.

Hivo Kwa Vyovyote vile, avunje ndoa àu asivunje, Vyovyote vile iwavyo, iwe Ndani ya ndoa au nje kwakua hamna Siri Duniani, siku Mumewe akijua LAZIMA ATAMUUA.

zingatia neno LAZIMA AMUUE.
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Labda huenda anasababu nyingine pia hayo madhaifu ya mume wake wa ndoa ni ya kibinadamu hivyo yanarekebishika wakati anafunga naye ndoa hakuyajua hayo
 
Kamsaliti Kwa muda mrefu, kazalishwa watoto wote watatu wasio wa Mumewe, Mume wake amemtunza muda wote huo yeye na watoto ,kawekeza muda na Mali zake.

Hivo Kwa Vyovyote vile, avunje ndoa àu asivunje, Vyovyote vile iwavyo, iwe Ndani ya ndoa au nje kwakua hamna Siri Duniani, siku Mumewe akijua LAZIMA ATAMUUA.

zingatia neno LAZIMA AMUUE.
Sio rahisi🤣🤣waachane tuu kwa amani
 
Hakumpa majukumu mkewe.

Sisi tunaotumia kamnyweso ndoa sio tatizo sana maana tunampa mke majukumu. Sasa mke hana changamoto ndoani lazima azitafute.

Hao viumbe hawapendi amani, ukiwapa amani unawaharibu basi watajitafutia shari kwa namna yoyote.
 
Sasa hapo anataka ushauri gani?

Alafu mbwa kama huyo akija kukatwa katwa mapanga wanaharakati uchwara waje kupiga kelele za ukatiri wa kijinsia.
Anacho kitafuta atakipata muda sio mrefu.
Nyie wanaume huwa hamgawi nje?
Punguza hasira!
 
Back
Top Bottom