Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie mpaka kufikia hapo, Atakufa muda wowote kuanzia Sasa.Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
😂😂Uwe nanvyote uachwe tena sii balaaa
Kwann😂😂😂Mwambie mpaka kufikia hapo, Atakufa muda wowote kuanzia Sasa.
Afanye haraka tupate shemeji😄Nitumie namba ya Mkaka anayetaka kuachwa 😅😜
Kamsaliti Kwa muda mrefu, kazalishwa watoto wote watatu wasio wa Mumewe, Mume wake amemtunza muda wote huo yeye na watoto ,kawekeza muda na Mali zake.Kwann😂😂😂
Tabia mbaya tu☺️Mbona ata nyie wanaume mnagawaga nje mkishatuoa
Dada yupo sahihi sina cha kumshauri
Labda huenda anasababu nyingine pia hayo madhaifu ya mume wake wa ndoa ni ya kibinadamu hivyo yanarekebishika wakati anafunga naye ndoa hakuyajua hayoDada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Acha tugawe nje na sisi😌Tabia mbaya tu☺️
Sio rahisi🤣🤣waachane tuu kwa amaniKamsaliti Kwa muda mrefu, kazalishwa watoto wote watatu wasio wa Mumewe, Mume wake amemtunza muda wote huo yeye na watoto ,kawekeza muda na Mali zake.
Hivo Kwa Vyovyote vile, avunje ndoa àu asivunje, Vyovyote vile iwavyo, iwe Ndani ya ndoa au nje kwakua hamna Siri Duniani, siku Mumewe akijua LAZIMA ATAMUUA.
zingatia neno LAZIMA AMUUE.
Siku kakaako akikukuta jf atalia sana 😂😂😂Atukome hayuko peke yake, bila mafiga matatu chungu hakikai motoni 😹😹🤣
Raha ya kubeba ndoo na kidumu kiwe mkononi..! 🤣
Nyie wanaume huwa hamgawi nje?Sasa hapo anataka ushauri gani?
Alafu mbwa kama huyo akija kukatwa katwa mapanga wanaharakati uchwara waje kupiga kelele za ukatiri wa kijinsia.
Anacho kitafuta atakipata muda sio mrefu.
As long as you know what do you want in life, hayo mengine yasikuyumbishe!Jamani hizi nyuzi sisi vijana zinatuharibu kisaikolojia
Halafu yeye arudi kwa x wake 😅😅😅aniachie Baba watoto wangu.Afanye haraka tupate shemeji😄
Nini maoni yakoMmmnh,. Ngumu kumeza hiii🤒🤒