Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Mambo kama hayo huwa tunayaona Tu kwenye fictional movies, ila kwenye maisha halisi hakuna kitu kama hicho mleta mada anatuzuga Tu.

Hakuna mwanamke mwenye akili timamu anayeweza kudhubutu mwanaume anayemhudumia kila kitu eti arudiane na ex kwa sababu ya tendo.

Hivi watu huwa hamjui kwamba kuna maisha mengine baada ya hilo tendo la ndoa?
Tembea uone bwana mkubwa wakinamama walipokuwa wanasema kwenye watoto watano juu wawili au mmoja sio wa kwako mimi nilikua najuaga ni utani hadi nilipokuja kujionea kwa macho
 
Si alikua mke kabisa, kula vya mumewe ilikua halali yake ila sasa kaona hawezi endelea kula vya mtu asiemtaka tena.
Kwani halikuwa hajui kama jamaa hajui kutomber huku nyuma kabla ya ndoa...hamna lolote huyo ni kumchoma moto alafu kweli watoto watatu unamuachia jamaa anamwagia tuu ndani uwiiii yaani mwenyewe sio muhusika ila tayari inaniuma kuwazia jinsinjamaa alivyokiwa anamwagja shahawa hadi tone la mwisho😭😭😭😭😭
 
Ingawa hii Inaweza kuwa Chai.

Ila amuache jamaa tu mapema naye akajitafutie familia yake.

Aache kumpotezea muda.
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!

Namshauri aende kwa Ex wake aachane na mumewe ili mambo yasiwe mengi.
 
Hapa ndio maana sisi kataa ndoa tunapoingia... Wanawake baadhi ni kama Wana mapepo,

Nimekuwa single Nina kama week mbili sasa' kwa ujinga huu, unakuwa na mahusiano na mtu' yeye kwenye Kila sentence anamkumbuka ex wake, mara anasema anaota anamjia mara anaota anasex naye... Bullsh🤣t😂

Wanawake Mungu anawaona
 

Attachments

  • Screenshot_20250207_210224.jpg
    Screenshot_20250207_210224.jpg
    300 KB · Views: 1
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Alikuwa analiwa ndogo na Ex- wake ndio maana anaona mumewe hamridhishi...hilo pepo ni la kulipiga chini liende kuambatana na pepo mwenzie
 
Nenda kasikilize kwanza tiwa savage alichoongea kabla ya kutoka kwenye ndoa.
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Mungu anakuwezesha ufanye unavyotaka na yeye anakufanya anavyotaka kwa hio mwambie afanye anavyotaka
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake
 
Back
Top Bottom