- Thread starter
- #161
Mkuu hii point ni kubwa na mimi huu mtego niliwah kuingia nilipata mchumba kipind anamaliza ChuoAmwache aende zake Tena haraka sana.
Funzo: Usitafute mchumba akiwa kwenye matatizo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii point ni kubwa na mimi huu mtego niliwah kuingia nilipata mchumba kipind anamaliza ChuoAmwache aende zake Tena haraka sana.
Funzo: Usitafute mchumba akiwa kwenye matatizo .
Tembea uone bwana mkubwa wakinamama walipokuwa wanasema kwenye watoto watano juu wawili au mmoja sio wa kwako mimi nilikua najuaga ni utani hadi nilipokuja kujionea kwa machoMambo kama hayo huwa tunayaona Tu kwenye fictional movies, ila kwenye maisha halisi hakuna kitu kama hicho mleta mada anatuzuga Tu.
Hakuna mwanamke mwenye akili timamu anayeweza kudhubutu mwanaume anayemhudumia kila kitu eti arudiane na ex kwa sababu ya tendo.
Hivi watu huwa hamjui kwamba kuna maisha mengine baada ya hilo tendo la ndoa?
Hii ni Kali Sana mkuu
Kwani halikuwa hajui kama jamaa hajui kutomber huku nyuma kabla ya ndoa...hamna lolote huyo ni kumchoma moto alafu kweli watoto watatu unamuachia jamaa anamwagia tuu ndani uwiiii yaani mwenyewe sio muhusika ila tayari inaniuma kuwazia jinsinjamaa alivyokiwa anamwagja shahawa hadi tone la mwisho😭😭😭😭😭Si alikua mke kabisa, kula vya mumewe ilikua halali yake ila sasa kaona hawezi endelea kula vya mtu asiemtaka tena.
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Tatizo sio mfupa, ni muonekano; wapo wa chini ya miaka 20 tayari wana sura za kizee.Mzee baba hivi mifupa wa miaka 30+ ulinganishe na under 25?
Huyo wa 1980 ana bunyero kama hili 😝Tatizo sio mfupa, ni muonekano; wapo wa chini ya miaka 20 tayari wana sura za kizee.
Alikuwa analiwa ndogo na Ex- wake ndio maana anaona mumewe hamridhishi...hilo pepo ni la kulipiga chini liende kuambatana na pepo mwenzieDada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Wapo kule kwenye uzi wa pisi kaliHuyo wa 1980 ana bunyero kama hili 😝
Shida sio kugawa nje shida ni kubambikwa watotooo watatu ambao sio wako na huna hatia hebu jaribu kuubeba huo mzigoo kama ni wewe unahisijeNyie wanaume huwa hamgawi nje?
Punguza hasira!
Mungu anakuwezesha ufanye unavyotaka na yeye anakufanya anavyotaka kwa hio mwambie afanye anavyotakaDada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yakeDada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Umeanza vibaya ukamaliza vzr. Bora ulivosema huna chakumshauriMbona ata nyie wanaume mnagawaga nje mkishatuoa
Dada yupo sahihi sina cha kumshauri
Nasema ukwellUmeanza vibaya ukamaliza vzr. Bora ulivosema huna chakumshauri