Anataka kunichoma kwa kiongozi wa nidhamu wa kanisa

Anataka kunichoma kwa kiongozi wa nidhamu wa kanisa

mikila miwili

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2021
Posts
563
Reaction score
561
Huyu ni binti ambaye nimekua nachat nae sana, iwe whatsap au msg za kawaida. Nina siku kama 21 hivi naye.

Amekuwa akikataa, sasa nikawa natumia uanaume kumshawishi. Akaniambia nyie walimu ni njaa kali tu na mimi siezi date na mwalimu.

Nikajua anataka hela nikamuambie anipe papuchi tu then kila mtu achukue time yake, aka mind akaanza kunitukana matusi. Kama hiyo haitoshi ametuma msg kwenye group la kanisa akimuomba kiongozi wa nidhamu inbox, nime screenshot msg zake zote kwa ajili ya ushahidi.

Hapa tumbo joto nasikilizia
 
Huyu ni binti ambaye nimekua nachat nae sana, iwe whatsap au msg za kawaida. Nina siku kama 21 hivi naye.

Amekuwa akikataa, sasa nikawa natumia uanaume kumshawishi. Akaniambia nyie walimu ni njaa kali tu na mm siezi date na mwalimu.
Nkajua anatak hela nikamuambie anipe uchi tu then kila mtu achukue time yake, aka mind akaanza kunitukana matusi. Kama hiyo haitoshi ametuma msg kwenye group la kanisa akimuomba kiongozi wa nidhamu inbox, nime screenshot msg zake zote kwa ajili ya ushahidi.

Hapa tumbo joto nasikilizia
Pole sana mwalimu..usiwaze sana mwanaume unaogopaje kujulikana kama wewe ni kidume.?

Kutongoza ni haki ya msingi ya mwanaume.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyu ni binti ambaye nimekua nachat nae sana, iwe whatsap au msg za kawaida. Nina siku kama 21 hivi naye.

Amekuwa akikataa, sasa nikawa natumia uanaume kumshawishi. Akaniambia nyie walimu ni njaa kali tu na mm siezi date na mwalimu.
Nkajua anatak hela nikamuambie anipe uchi tu then kila mtu achukue time yake, aka mind akaanza kunitukana matusi. Kama hiyo haitoshi ametuma msg kwenye group la kanisa akimuomba kiongozi wa nidhamu inbox, nime screenshot msg zake zote kwa ajili ya ushahidi.

Hapa tumbo joto nasikilizia
Acha kutongoza watoto wadogo, katafute mwanamke anayejielewa.
 
Unamuogopa mchungaji broo, then angalia type yako oa hata kanafunzi kako kalikomaliza la saba.
 
Back
Top Bottom