mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 561
YesKo tayari
Pole sana mwalimu..usiwaze sana mwanaume unaogopaje kujulikana kama wewe ni kidume.?Huyu ni binti ambaye nimekua nachat nae sana, iwe whatsap au msg za kawaida. Nina siku kama 21 hivi naye.
Amekuwa akikataa, sasa nikawa natumia uanaume kumshawishi. Akaniambia nyie walimu ni njaa kali tu na mm siezi date na mwalimu.
Nkajua anatak hela nikamuambie anipe uchi tu then kila mtu achukue time yake, aka mind akaanza kunitukana matusi. Kama hiyo haitoshi ametuma msg kwenye group la kanisa akimuomba kiongozi wa nidhamu inbox, nime screenshot msg zake zote kwa ajili ya ushahidi.
Hapa tumbo joto nasikilizia
Sawa kakaPole sana mwalimu..usiwaze sana mwanaume unaogopaje kujulikana kama wewe ni kidume.?
Kutongoza ni haki ya msingi ya mwanaume.
#MaendeleoHayanaChama
Hahahahah ngoma bado mbichi hii mkuu. No man downDelta 1, this is Alpha 1 reporting......
Female terrorist in sight.
Man down I repeat man down
Liverpool VPN do you copy?
To yeye bhana[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nawaka tamaa mpaka kwakoEti tumbo joto[emoji1787] makanisa ya nn kama mnajua mnawaka tamaa Kwa waumini wenzenu[emoji3062]
Acha kutongoza watoto wadogo, katafute mwanamke anayejielewa.Huyu ni binti ambaye nimekua nachat nae sana, iwe whatsap au msg za kawaida. Nina siku kama 21 hivi naye.
Amekuwa akikataa, sasa nikawa natumia uanaume kumshawishi. Akaniambia nyie walimu ni njaa kali tu na mm siezi date na mwalimu.
Nkajua anatak hela nikamuambie anipe uchi tu then kila mtu achukue time yake, aka mind akaanza kunitukana matusi. Kama hiyo haitoshi ametuma msg kwenye group la kanisa akimuomba kiongozi wa nidhamu inbox, nime screenshot msg zake zote kwa ajili ya ushahidi.
Hapa tumbo joto nasikilizia
Amadala is copying from North Pole,Delta 1, this is Alpha 1 reporting......
Female terrorist in sight.
Man down I repeat man down
Liverpool VPN do you copy?
Ahsante kwa kunijulisha hiloYaan unamuogopa kiongoz wa kanisa kuliko unavyomuheshimu Mungu na wazazi wako
Viongoz wengi wa kanisa ndio washirikina vitombi wanafiki na wasengenyaji
Sawa kakaAcha kutongoza watoto wadogo,katafute mwanamke anayejielewa.