Anataka kunipeleka Polisi kisa na-date na Binti yake

Kwanini uko naye kimapenzi? Unampenda kiasi cha kutaka kumuoa au unazuga naye tu? Kama unataka kumuoa fata taratibu msomeshe pimbi wewe!

Kama huna mpango naye achana naye tafuta mwanamke mtaani wamejaa tele mvalishe nguo za diploma acha ukenge

Mzee ana malengo na mtoto wake ndo maana anakula ugali bila mboga ili alipe ada.

Acha kumchonganisha mtoto na babake..huyo mtoto bado ndo maana anasomeshwa na babake angekua mkubwa angejisomesha mwenyewe paka mweusi wewe.

Unajua ada inavyotafutwa?
 
Kuna mjumbe mmoja amejibu lakini wengine naona wanaleta utani tuu, ki ufupi hakuna sheria itatumika kukuhukumu labda unawezwa kuumizwa endapo huyo mzee ataamua, maana atakupeleka kwanza polisi.

Polisi wetu ni walafi zaidi ya fisi, watakutishia na watakutia ndani na pesa itatembea, unaweza kupewa kesi nyingine mbaya na mahakamani ukajikuta kwenye kesi mpya na ukafungwa vizuri tu.

Kama kuna uwezekano wa kuyasuluhisha na mzee harakisha mkayamalize vyombo vyetu vya mahakama na polisi kiufupi vimeoza sana tena sana.
 
Mzee wa watu anamsomesha halafu wewe kazi yako kumla tu/ wew noma sana
 

Amegundua wewe ni tapeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…