Anataka kupeleka watoto wake boarding shule ya msingi. Ameshauriwa lakini hasikii litakalomkuta Mungu anajua

Anataka kupeleka watoto wake boarding shule ya msingi. Ameshauriwa lakini hasikii litakalomkuta Mungu anajua

Fateema

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2024
Posts
234
Reaction score
495
Watoto wake Wapo wawili mmoja la 5 mwingine la 3. Wote wa kiume. Kaambiwa siku hizi watoto wa kiume Wana haribiwa shule za boarding hazifai bado wadogo hao hasikii. Watu wengine matatizo huwa wana jitakia wenyewe
 
Kuna watu huwa wanajikuta tu wana watoto lakini hawana mapenzi na watoto. Moja ya sifa za watu hawa ni kukaa mbali na watoto wao; sasa sehemu rahisi ya kuwapeleka mbali nao ni shule za bweni au kwa bibi. Na wengine ni wale ambao hutoa mimba/kuua vichanga. Katika maisha sio lazima kila mtu azae. Ukiojiona hivyo usifuate mkumbo wa kuzaa jamani mweeh
 
Kuna watu huwa wanajikuta tu wana watoto lakini hawana mapenzi na watoto. Moja ya sifa za watu hawa ni kukaa mbali na watoto wao; sasa sehemu rahisi ya kuwapeleka mbali nao ni shule za bweni au kwa bibi. Na wengine ni wale ambao hutoa mimba/kuua vichanga. Katika maisha sio lazima kila mtu azae. Ukiojiona hivyo usifuate mkumbo wa kuzaa jamani mweeh
100% Fact
 
Kuna watu huwa wanajikuta tu wana watoto lakini hawana mapenzi na watoto. Moja ya sifa za watu hawa ni kukaa mbali na watoto wao; sasa sehemu rahisi ya kuwapeleka mbali nao ni shule za bweni au kwa bibi. Na wengine ni wale ambao hutoa mimba/kuua vichanga. Katika maisha sio lazima kila mtu azae. Ukiojiona hivyo usifuate mkumbo wa kuzaa jamani mweeh
Kupeleka mtoto wa darasa la tano boarding ni kutompenda kweli? wewe unajua mazingira ya nyumbani kwao kwamba bora bweni kuliko kubaki nyumbani, kuna shule za bweni zina huduma nzuri hata kuliko huduma ya nyumbani, masikini wengi tusio wenza bweni za Ems tuna jifariji na hoja za kitoto kwani mtaani watoto hawaribiki, shule ya Ems ni pesa sio chini ya 1.5m ndo maana mnatafuta visababu vya kushindwa kutoa ada
 
Kupeleka mtoto wa darasa la tano boarding ni kutompenda kweli? wewe unajua mazingira ya nyumbani kwao kwamba bora bweni kuliko kubaki nyumbani, kuna shule za bweni zina huduma nzuri hata kuliko huduma ya nyumbani, masikini wengi tusio wenza bweni za Ems tuna jifariji na hoja za kitoto kwani mtaani watoto hawaribiki, shule ya Ems ni pesa sio chini ya 1.5m ndo maana mnatafuta visababu vya kushindwa kutoa ada

Aisee
 
Kupeleka mtoto wa darasa la tano boarding ni kutompenda kweli? wewe unajua mazingira ya nyumbani kwao kwamba bora bweni kuliko kubaki nyumbani, kuna shule za bweni zina huduma nzuri hata kuliko huduma ya nyumbani, masikini wengi tusio wenza bweni za Ems tuna jifariji na hoja za kitoto kwani mtaani watoto hawaribiki, shule ya Ems ni pesa sio chini ya 1.5m ndo maana mnatafuta visababu vya kushindwa kutoa ada

Hao watoto wanaoharibika wanatoka kwenye hizo shule unazodai ni bora. Hapa hatuangalii gharama tunaangalia usalama na hali halisi ya mapenzi kwa mtoto. Kaeni na watoto wenu angalau aanze sekondari anakuwa amepevuka kidogo kiasi kwamba hawezi kurubuniwa na kuharibiwa kirahisi na pia anakuwa amepata mapenzi ya wazazi na anafeel kupendwa. Mtoto darasa la 3 unampeleka akakae mbali na mzazi kisa eti una pesa ya shule bora za boarding unamkosesha mapenzikutoka kwa wazazi ambayo ni muhimu katika umri wake. Mkizeeka ndio ninyi mnaolalamika eti mtoto hana mapenzi na wazazi, unasahau ulimyima mapenzi toka akiwa mdogo. Fikiri kwa upana; pesa zako zisikutenge na watoto wako. Mifano ni mingi tu.
 
Hao watoto wanaoharibika wanatoka kwenye hizo shule unazodai ni bora. Hapa hatuangalii gharama tunaangalia usalama na hali halisi ya mapenzi kwa mtoto. Kaeni na watoto wenu angalau aanze sekondari anakuwa amepevuka kidogo kiasi kwamba hawezi kurubuniwa na kuharibiwa kirahisi na pia anakuwa amepata mapenzi ya wazazi na anafeel kupendwa. Mtoto darasa la 3 unampeleka akakae mbali na mzazi kisa eti una pesa ya shule bora za boarding unamkosesha mapenzikutoka kwa wazazi ambayo ni muhimu katika umri wake. Mkizeeka ndio ninyi mnaolalamika eti mtoto hana mapenzi na wazazi, unasahau ulimyima mapenzi toka akiwa mdogo. Fikiri kwa upana; pesa zako zisikutenge na watoto wako. Mifano ni mingi tu.
Fact
 
mbona una jina la mtu mmoja hivi alieachika na mumewe, amepata naye watoto wawili wa kiume, na kweli huyo baba alitaka akapeleka watoto boarding sababu mwanamke hakai na watoto amewabwaga kwa mama yake watoto wanateseka?
 
Tafiti zinasema ndugu na watu wetu wa karibu ndio wanaongoza kufanya ukatili wa kijinsia na kihisia kwa watoto .
Mkoa wa Kilimanjaro ndio kinara kwa wajomba kulawiti watoto.
Fact
 
mbona una jina la mtu mmoja hivi alieachika na mumewe, amepata naye watoto wawili wa kiume, na kweli huyo baba alitaka akapeleka watoto boarding sababu mwanamke hakai na watoto amewabwaga kwa mama yake watoto wanateseka?
Anaweza kuwa ni yeye mkuu, anatafuta maoni ya wadau juu ya uamuzi wa baba watoto
 
Back
Top Bottom