Anataka kutoa mimba kisa Anaogopa Compulsory HIV testing

Anataka kutoa mimba kisa Anaogopa Compulsory HIV testing

Mama yeyote mjamzito anapohudhuria clinic katika kadi ya clinic kuna aina mbalimbali za vipimo unavyotakiwa kufanyiwa kama vile BP, Kisukari, UTI, VDL, HIV.<br />
<br />
Sasa katika hivyo vipimo hakuna suala la hiari kwa sababu limelenga katika uzazi salama. Mfano, ni lazima ijulikane kama umeambukizwa magonjwa yoyote ya zinaa STDs (Kaswende, gonorrhea, warps, n.k) ili kama uko +ve kwa hayo magonjwa utibiwe ili usije mwambukiza mtoto au usije jifungua mtoto mwenye ulemavu wa macho n.k. Kwa HIV ni lazima kwa sababu kwanza inaweka kumbukumbu ili wakati wa kujifungua ijulikanae kama wewe ni +ve utaratibu maalumu utaandaliwa kwa ajili yako. Lakini vilevile, kwa kuwa uzazi wa sasa hivi unakuwa na matatizo na wakati mwingine kujifungua kwa operation, tahadhari kwa madaktari lazima ichukuliwe katika hali yoyote ile kulingana na hali ya kiafya ya mjamzito.
Kwa hiyo hakuna suala la hiari kwa mjamzito. Kama hutaki kupima basi usibebe mimba. Ninasema hivyo kwa uzoefu kwa kuwa nimekuwa nikihudhuria nikimsindikiza &quot;mywife&quot; wangu, so i know everything. Na kimsingi kuna faida zaidi kwa mjamzito kujua hali yake ya HIV kuliko kutokujua. Hii pia ni kwa upande wa madaktari, wakunga na wauguzi wanaowahudumia hao akima mama wajawazito.
Hakuna sheria iliyotungwa na bunge ya kulazimisha hili suala, ila ni mwongozo wa wizara ya afya wa namna ya kuwahudumia wajawazito kuhakikisha uzazi salama kwa mama na mtoto anayezaliwa.
naomba huo muongozo wa wizara ya afya "unaolazimisha" upimaji wa HIV.hizo basic investigations unazosema zinahitaji hiari ya mgonjwa na sio kumkurupukia kama unavyosema.
 
naomba huo muongozo wa wizara ya afya &quot;unaolazimisha&quot; upimaji wa HIV.hizo basic investigations unazosema zinahitaji hiari ya mgonjwa na sio kumkurupukia kama unavyosema.
<br />
<br />
mkuu kwenye package ya huduma ya afya kuna kitu kinaitwa RCH ie reprdtv and child health ndani ya hiyo kuna pmtct ie prevention of mother to child transmsn ambayo ni lazma ifahamike hiv status yenu. Pia kumbuka siku hizi suala la ukimwi cio la kuficha inatakiwa muhudumu wa afya ajue afya yako ili akupe huduma stahiki! Aafu mkuu inaonekana uko kwenye teens, mbona mpaka vjjn wanajua hii huduma?
 
naomba huo muongozo wa wizara ya afya &amp;quot;unaolazimisha&amp;quot; upimaji wa HIV.hizo basic investigations unazosema zinahitaji hiari ya mgonjwa na sio kumkurupukia kama unavyosema.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
unaweza kueleza ni sheria ipi inayoelekeza mama mjamzito apime HIV?ninavyofahamu kupima HIV ni hiari na hufanywa baada ya mhusika kupewa ushauri nasaha na kama akikubali kupimwa anapewa ushauri unaoendana na matokeo yake.kwa kifupi kinamama wanashauriwa na sio kulazimishwa kupima HIV.
sheria? Sheria? Wewe nenda clinic kaulize.. Nimeyaona cjasema tu. Sasa wewe kama unaakili timamu na unaplans nzuri za maisha yako kwa nini usipime? Kuna hospitali nyingine ni lazima na nyingine zinazofikiria pesa kabla ya uhai wa mtoto watakulazimisha usipime kwa kuwa wanataka pesa tu. Kuna umuhimu MKUBWA sana wa mama mjamzito kupima...hivi matangazo ya free HIV generation huyajui? Kila siku yanapiga kelele kuwafundisha viumbe visivyo na akili...
 
Back
Top Bottom