kupima sio lazima na kama umelazimishwa ni kinyume na maadili ya udaktari.hizo technical terminologies zinaelezea makundi yote aliyepima na kuwa +,aliyepima na kuwa negative,aliyepima lakini majibu hajulikani na asiyepima kabisa.kuhusu kuepusha maambukizi kwa wahudumu wa afya;hii haina logic kwa sababu sio ukimwi pekee unambukiza.isitoshe muhudumu wa afya amefundishwa kuzuia maambukizi kwake au kwa mgongwa(infection prevention techniques)
nasisitiza kabla mgonjwa hajafanyiwa chochote(pamoja na kupima) lazima atoe informed conset.tusihalalishe makosa yanayofanywa na baadhi ya wahudumu wa afya kuwa ni sheria.