Anataka nimuoe, nahisi wameniunganisha naye

Anataka nimuoe, nahisi wameniunganisha naye

Sahivi hao wanawake wakikusalimia kwa kukwambia "mambo" We wajibu "mambo kwa yesu"

Wakikwambia wanakupenda we waulize "ni kweli mnanipenda au mnataka tu kunichezea mniache?" Wakijibu ni kweli wanakupenda we wajibu "mi najitunza hadi nikioa naogopa msiniharibie uvulana wangu"
 
Habari ya uzima wenu wapendwa,,namshukuru MUNGU kwa kutulinda na kuwa hai mpaka sasa ni kwa kusudi lake.

Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29,ni mlokole nasali kanisa la T.A.G
MAADA:
Kuna changamoto ambayo nimeamua kushare nanyi naamini kuna ushauri ntapata kupitiia ninyi,,
Kuna mabinti kadhaa wamekuja kwa nyakati tofauti wakidai wananipenda ni wa hapo kanisani pia lakini wengi nilipowapima wanataka uasherati baadae ndoa kiukweli nilikuwa nikiwakatali nakuwambia ni dhambi na nilaana kweli walikuwa wakinielewa,,,katika Maombi MUNGU alikuwa anawafunua kuwa njia zao hazipo sawa maana yake hawajajikana na kuubeba msalaba,,

NISIWACHOSHE:
Kuna Mama mmoja ambae ni jirani na nilipo panga,,huyu mama amekuwa akisafiri ananiacha kwa nyumba yake ili nikae pale akiwa kasafiri nimekuwa nikifanya hivyo hadi anapo rudi ,,tunaitana Kaka na Dada hajaenda sana kiumri,
Ilitokea kuniamini saana kutokana na maisha yangu kijamii na kikubwa zaidi ninavyo mtumikia MUNGU kwa bidii,maana amekuwa akirudi anakuta mambo ni Safi+Usalama katika nyumba yake,

POINTI KUU:
Alipata mfanyakazi wa ndani kutoka pande za BK(Mhaya) ana kama miezi 7 hivi kama sikosei yupo pale,,tukazoeana nae kama majirani baadae nikamuulizia mambo ya imani akadai alikuwa akisali E.A.G.T mwanzo alikuwa K.K.K.T baadae nikamwambia tuanze kusali wote asikae bila kusali,,amekuja kama Jumapili 3 hivi akaacha Tena kumfatilia ameenda kusali kanisa jingine E.A.G.T,basi nikamshauri mambo ya kiroho nikamwambia inatakiwa usimame sehemu moja na uwe na Baba mmoja wa kiroho akawa amenielewa baadae nimshawishi akasimama sehemu moja mpaka sasa tunasali nae,,

CHAKUSHANGAZA:
Sikumoja yule Dada wa nyumba ile akaniita niende kwake ilikuwa saa 9 alasiri,nikaenda nikakaribishwa sebleni baada ya kusalimiana na mazungumzo kidogo,,nikaambiwa Y tumekuita hapa kwa jambo zuri tu la KIMUNGU ,nikasema sawa Kaka,,niliyekuwa nazungumza nae ni mme wa yule Dada wa nyumba ,akaniuliza Y unampenda T?! Kiukweli hilo swali skulijibu maana nilishitukizwa sikujua ni nini nimeitiwa nikatafakari bila kujibu,,akaulizwa T,,unampenda Y ?! Akasema ndiyo! Nikawaza moyoni mmh!
Kufupisha story,, Nikitoka pale bila kuwapa jibu nikawaambia wanipe muda.

Baada ya hapo binti amekuwa amekuwa akinganda kwa maswali ya kila aina je,nampenda kweli?,Mara anahisi me simpendi,,Mara Nampa majibu ya mafumbo!

Anasema pale nyumbani wananipenda wanatamani yeye aolewe na Mimi,,maana kwa usminifu wangu ntaishi nae.

Kuanzia hapo binti amekuwa akinitumia jumbe nyingi,,je,nampenda kweli maana anataka me nimuoe,Mara haamini kama nampenda,
Me nimemwambia tuingie kwa Maombi tumuulize MUNGU kama akithibitisha itakuwa,
Wazazi wamekuwa wakimlazimisha aolewe kuwa umri umeenda,hadi wamefikia kumtaftia mwanaume wa kumuoa lakin alikataa,,lakini hayo yote yalitokea kabla ya hili Jambo langu.

MOYO WANGU haujafunguka kabisa juu yake nifanyeje?

Msaada maamzi sahihi yanahitajika maana ndoa ni maisha,,
MUNGU awaongoze vyema.
Chai kama chai.
 
Habari ya uzima wenu wapendwa,,namshukuru MUNGU kwa kutulinda na kuwa hai mpaka sasa ni kwa kusudi lake.

Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29,ni mlokole nasali kanisa la T.A.G
MAADA:
Kuna changamoto ambayo nimeamua kushare nanyi naamini kuna ushauri ntapata kupitiia ninyi,,
Kuna mabinti kadhaa wamekuja kwa nyakati tofauti wakidai wananipenda ni wa hapo kanisani pia lakini wengi nilipowapima wanataka uasherati baadae ndoa kiukweli nilikuwa nikiwakatali nakuwambia ni dhambi na nilaana kweli walikuwa wakinielewa,,,katika Maombi MUNGU alikuwa anawafunua kuwa njia zao hazipo sawa maana yake hawajajikana na kuubeba msalaba,,

NISIWACHOSHE:
Kuna Mama mmoja ambae ni jirani na nilipo panga,,huyu mama amekuwa akisafiri ananiacha kwa nyumba yake ili nikae pale akiwa kasafiri nimekuwa nikifanya hivyo hadi anapo rudi ,,tunaitana Kaka na Dada hajaenda sana kiumri,
Ilitokea kuniamini saana kutokana na maisha yangu kijamii na kikubwa zaidi ninavyo mtumikia MUNGU kwa bidii,maana amekuwa akirudi anakuta mambo ni Safi+Usalama katika nyumba yake,

POINTI KUU:
Alipata mfanyakazi wa ndani kutoka pande za BK(Mhaya) ana kama miezi 7 hivi kama sikosei yupo pale,,tukazoeana nae kama majirani baadae nikamuulizia mambo ya imani akadai alikuwa akisali E.A.G.T mwanzo alikuwa K.K.K.T baadae nikamwambia tuanze kusali wote asikae bila kusali,,amekuja kama Jumapili 3 hivi akaacha Tena kumfatilia ameenda kusali kanisa jingine E.A.G.T,basi nikamshauri mambo ya kiroho nikamwambia inatakiwa usimame sehemu moja na uwe na Baba mmoja wa kiroho akawa amenielewa baadae nimshawishi akasimama sehemu moja mpaka sasa tunasali nae,,

CHAKUSHANGAZA:
Sikumoja yule Dada wa nyumba ile akaniita niende kwake ilikuwa saa 9 alasiri,nikaenda nikakaribishwa sebleni baada ya kusalimiana na mazungumzo kidogo,,nikaambiwa Y tumekuita hapa kwa jambo zuri tu la KIMUNGU ,nikasema sawa Kaka,,niliyekuwa nazungumza nae ni mme wa yule Dada wa nyumba ,akaniuliza Y unampenda T?! Kiukweli hilo swali skulijibu maana nilishitukizwa sikujua ni nini nimeitiwa nikatafakari bila kujibu,,akaulizwa T,,unampenda Y ?! Akasema ndiyo! Nikawaza moyoni mmh!
Kufupisha story,, Nikitoka pale bila kuwapa jibu nikawaambia wanipe muda.

Baada ya hapo binti amekuwa amekuwa akinganda kwa maswali ya kila aina je,nampenda kweli?,Mara anahisi me simpendi,,Mara Nampa majibu ya mafumbo!

Anasema pale nyumbani wananipenda wanatamani yeye aolewe na Mimi,,maana kwa usminifu wangu ntaishi nae.

Kuanzia hapo binti amekuwa akinitumia jumbe nyingi,,je,nampenda kweli maana anataka me nimuoe,Mara haamini kama nampenda,
Me nimemwambia tuingie kwa Maombi tumuulize MUNGU kama akithibitisha itakuwa,
Wazazi wamekuwa wakimlazimisha aolewe kuwa umri umeenda,hadi wamefikia kumtaftia mwanaume wa kumuoa lakin alikataa,,lakini hayo yote yalitokea kabla ya hili Jambo langu.

MOYO WANGU haujafunguka kabisa juu yake nifanyeje?

Msaada maamzi sahihi yanahitajika maana ndoa ni maisha,,
MUNGU awaongoze vyema.
Muulize Mungu Na fatisha atakachokwambia
 
Sahivi hao wanawake wakikusalimia kwa kukwambia "mambo" We wajibu "mambo kwa yesu"

Wakikwambia wanakupenda we waulize "ni kweli mnanipenda au mnataka tu kunichezea mniache?" Wakijibu ni kweli wanakupenda we wajibu "mi najitunza hadi nikioa naogopa msiniharibie uvulana wangu"
Haya bwanaaa
 
Omba Mungu, akufunulie kwa habari ya T kama alivyokufunulia kwa hao wasichana wengine. Kosea vyote ila usikosee kuoa, hivyo usikubali kushawishiwa na watu kuandamana na mtu ambaye moyo wako hauko kwake.
 
Utamtumikia MUNGU bila utambulisho wewe ni nani,,hata makanisa lazima yawe na utambulisho,ndiyo maana enzi za kale zilikuwepo Sinagogi,Mahekalu huo ni utambulisho ndugu,,utamwabudu vipi MUNGU katika Roho na kweli ili hali haupo sehemu sahihi?
Pole sana kwa kufungwa na imani
 
Back
Top Bottom