Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

Hello wanajamvi

Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Chukua pesa yako kaka, fanya mambo mengine, usifatilie sana kujua kilicho nyuma ya pazia, utaendelea kuumia.
 
Kila siku tunawaambia wanawake ni matapeli kwenye ndoa hamsikii ona sasa yanayowakuta. Shukuru Mungu hilo tapeli limeondoka endelea na mambo mengine
KATAA NDOA
 
Akikuacha kwahio utaanzisha mahusiano mentioned ambayo mutakaa miaka mitano ndio muanze ishu za ndoa technically utakuwa na miaka 35 na huyo akizingua itakuchukua tena miaka 5 means utakuwa na 40.

Huyo mwanamke ni mujinga na wewe unahitaji kujifunza mahusiano ya sasahivi hayapo stable haitakiwi uwe na uhusiano wa muda mrefu ukiwa vizuri kiuchumi ndani ya miezi mitano inatosha kuoa ukiendela hivyo utafika 50 unaandaa mipango ya ndoa tu.
Hebu rudia Tena huu ushauri wako??

#YNWA
 
Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Sawa ugomvi naevhuna ila kuna mtu anaishi nae vizuri zaidi yako.

Achana nae ktk hatua hii. Mungu kakuokoa na hatari, huyo sio mke wako.

Achana nae
 
Mwanangu wa kiume akifika darasa la saba tu, namtafutia demu, apigwe na matukio mpaka dishi lake likamate chaneli.

SHENZI KABISA .


Na akiwa wa kike nisipomuozesha before 26 , namfukuza akadangie mbele huko.

SHENZI KABISA.
 
Pole sana kiongozi, inaonesha pia ulikuwa unampenda sana huyo binti. Inaumiza sana, kuna wakati unaweza hisi kama umepoteza kila kitu au labda huna thaman.

Sivyo. Haya mambo yanatokea sio kwako tu. Msahau, japo ni ngumu lakini jitahidi
🤤
 
Hello wanajamvi

Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Hakikisha anatoa taarifa kwa wazazi wake na wanarudisha mahari yote. Endelea na mambo mengine
 
Watu Huwa mnanichekesha sana nyie!

Unaishi ndoa pika pakua halafu una stress za kufunga ndoa!!

Yaani unafanya ndoa tayari halafu unawaza kufunga doa ambayo tayari unaiishi!!!

Wewe ungeendelea kumzalisha huku ukiona msimamo wake!unahofu ya nini!!?
Nahisi hakuna mtoto hapa, yaani miaka 5 hakuna kutema mate hilo ni tatizo la mwanaume.
Ni haki kuachwa kabisaaa, yaani miaka 5 hakuna MIMBA. Huyo mwanamke kaona mbali
 
Hello wanajamvi

Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Blaza warudishe mahari..wakomalie warudishe mahari,wakizingua niambie nije kukusaidia kuidai
 
Kubaliana na uamuzi wake japo ni ngumu ila jipe moyo endelea na maisha yako wajulishe wazazi wako usiwe muoga waambie ukweli kilichotokea kuhusu ww na mpenz wako maisha yapo ni kila kinachofanyika kwa binadamu kila malipo yake ww ni mtoto wa kiume jipe ujasiri songa mbele
 
Si chukua mahari uondoke mbona hili halikuhitaji hata uje mtandaoni
Kama ulishapiga hakuna shida hata mahari unaweza kuacha ukaendelea na maisha
NB
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi
 
Hello wanajamvi

Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.

Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.

Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.

Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.

Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.

Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.

Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.

Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.

Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Huyobku issue alikua anaisikiizia na bado anaisikilizia
 
Mkuu pole lkn hilo lisikupe shida lipokee kwa mikono yote miwili na wew uwe seriously katk kumuach

Mtumie Nguo zake na vyombo na kam umepangasha hamia mtaa 2/3
 
Achana nae mkuu. Futa tafuta mke mwingine... wewe lazima utaoa tuu ila kwake kuolewa ninneema tu....
Mungu amekuepusha Amini hivyo mobe on
 
Akikuacha kwahio utaanzisha mahusiano mentioned ambayo mutakaa miaka mitano ndio muanze ishu za ndoa technically utakuwa na miaka 35 na huyo akizingua itakuchukua tena miaka 5 means utakuwa na 40.

Huyo mwanamke ni mujinga na wewe unahitaji kujifunza mahusiano ya sasahivi hayapo stable haitakiwi uwe na uhusiano wa muda mrefu ukiwa vizuri kiuchumi ndani ya miezi mitano inatosha kuoa ukiendela hivyo utafika 50 unaandaa mipango ya ndoa tu.
Mitano ni mingi mno. Kama ni mke ni mke tu hata kwa siku moja utamjua tu kuwa ni mke bora
 
Mjomba uyo mkoa ex alienda kwa mume wa ndoto zake akaliwa weee pamoja na mipango kibao uko, alivuotoka uko akaenda mkoa z sijui kwa shoga ake kupata ushauri ndo maana katoa conklushioni sasa we fosi yatakutokea puani
 
Back
Top Bottom