Ahahaaa mkuu hiz story zangu siyo za kutunga hata kucopy hata kidogo na sijawah copy kutoka sehemu yeyote ileMbona sijawahi kukuelewa nyuzi zako unazitoleaga wapi kwani na mimi nikazi copy mana sijawahi anzisha uzi humu.
Mana kila nikiunganisha dots huwa haziunganishiki kabisa. Ila hongera sana mkuu.
Aisee. Yaani unitumie uzi pm. DuuhAhahaaa mkuu hiz story zangu siyo za kutunga hata kucopy hata kidogo na sijawah copy kutoka sehemu yeyote ile
Lakin usikonde wangu nitakutungia uz ulio kamilika then nitakupm ili kesho uutupie humu ndan
Huwezi kufurahia mabaya ya mwenzio hata kama alikukosea alafu ukajiita una amani! Wewe chuki zinakusumbua na ndio ulimbukeni wenyewe huoJaman ladyaj yamekuwa hayo tena mpendwa
Mkuu iko hivi kile chuo hakikuwa na sifa hivyo hata yeye hakuwa na sifa ya kuwa mwanachuo na huyo basha wake naye hana sifa ya kufundisha chuo. Hivyo acha tu wapambane na hali zaoMkuu sasa itakuwaje..? kama akipata chuo kingine na huyo basha wake, naye akapata kazi nyingine nzuri zaidi?
Mkuu sasa itakuwaje..? kama akipata chuo kingine na huyo basha wake, naye akapata kazi nyingine nzuri zaidi?
Usijali kaka nilikuwa natania tu sina mpango huo[emoji23]usijal dada kama ni ngumu lakin mimi nilikwambia hivyo kwa sababu wewe uliadai hujawah toa uz humu ndan
Usisononeke na usiwe na mashaka kuwa na aman kabisa
Kwa kweli aseNimeongeza siku zako za kuish mkuu