Anatumia Mabilioni Kurudisha Nyuma Umri Wake

Anatumia Mabilioni Kurudisha Nyuma Umri Wake

View attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.

Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.

Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .

Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.

Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’

Pimbi wa Ludewa
Yale yale ya Michael Jackson kuwa na Madaktari 10 wa kila aina ya huduma kiafya mwilini mwake akijihakikishia ataishi zaidi ya miaka 150, hatimaye Mungu mwenye pumzi yake akaichukua kiulaiini alipofikisha tu miaka 50.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yale yale ya Michael Jackson kuwa na Madaktari 10 wa kila aina ya huduma kiafya mwilini mwake akijihakikishia ataishi zaidi ya miaka 150, hatimaye Mungu mwenye pumzi yake akaichukua kiulaiini alipofikisha tu miaka 50.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Pumzi ndio hawawezi kuumba ila wanahangaika sana na hawataweza
 
View attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.

Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.

Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .

Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.

Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’

Pimbi wa Ludewa
Tafuta ela hakuna kuzeeka
 
View attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.

Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.

Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .

Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.

Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’

Pimbi wa Ludewa
Amuulize machel jackson kilichomkuta,huku kwetu kuna wazee wanalala kwenye vibanda hata vyoo hawana,wanakula bora kula lakini unakuta mtu ana kalibu miaka 90 na yuko frshi tu
 
bongo watu hawatumii technology yoyote wanagonga miaka 28+ ila muonekano ni wa miaka 19 hata akili zinabaki vilevile bado anagombania ukoko wa wali na wadogo zake hapo nyumbani wakati wa chai
 
View attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.

Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.

Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .

Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.

Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’

Pimbi wa Ludewa
nadhani hawa ndo walewale
 
Back
Top Bottom