Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji28]Kuna watu huku Tz tukipimwa hayo masikio au ngozi tutajikuta kwenye 70s wakati tuko zetu tuna approach 40s
ah thubutumpaka hizo cells
Kwani huyo hafanyi hizo starehe ???😁😁Wengine mmewekeza kwenye pombe,Mbususu na Wanawake
Jamaa kawekeza kwenye afya yake mnamdhihaki[emoji4]
Yale yale ya Michael Jackson kuwa na Madaktari 10 wa kila aina ya huduma kiafya mwilini mwake akijihakikishia ataishi zaidi ya miaka 150, hatimaye Mungu mwenye pumzi yake akaichukua kiulaiini alipofikisha tu miaka 50.View attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.
Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.
Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .
Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.
Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’
Pimbi wa Ludewa
Pumzi ndio hawawezi kuumba ila wanahangaika sana na hawatawezaYale yale ya Michael Jackson kuwa na Madaktari 10 wa kila aina ya huduma kiafya mwilini mwake akijihakikishia ataishi zaidi ya miaka 150, hatimaye Mungu mwenye pumzi yake akaichukua kiulaiini alipofikisha tu miaka 50.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tafuta ela hakuna kuzeekaView attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.
Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.
Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .
Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.
Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’
Pimbi wa Ludewa
Amuulize machel jackson kilichomkuta,huku kwetu kuna wazee wanalala kwenye vibanda hata vyoo hawana,wanakula bora kula lakini unakuta mtu ana kalibu miaka 90 na yuko frshi tuView attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.
Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.
Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .
Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.
Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’
Pimbi wa Ludewa
We umewekeza kwenye nn mkuu?🤣🤣🤣 asking for a friend 🤔Wengine mmewekeza kwenye pombe,Mbususu na Wanawake
Jamaa kawekeza kwenye afya yake mnamdhihaki[emoji4]
nadhani hawa ndo walewaleView attachment 2632167
Mjasiriamali wa teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya dola kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake halisi wa kibiolojia wa miaka 45.
Byan hufanyiwa vipimo vya mara kwa mara na matibabu na kundi la wataalamu linaojumuisha madaktari 30 na wanasayansi, BBC inaripoti.
Muonekano wa mwili wake hauendani na miaka aliyoishi duniani. Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.''Kibiolojia, nimekula chumvi kiasi cha haja. Sikio langu la kushoto ni la mtu wa miaka 64 na ukaguzi wa ubora wake unasema nina miaka 18. Mapigo ya moyo wangu ni wa mtu wa miaka 37 na uwezo wangu wa kupumua vyema ni wa kijana miaka 18," alisema Byan .
Bryan pia anasema madaktari wake wametumia karibu miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake. Alieleza kuwa mashine inayofanya kazi ya kumpunguzia umri, hupiga picha kadhaa za muonekano wa uso wake na kutoa karibu ripoti 10 zinazonesha ukubwa wa pua yake na uso mzima kwa ujumla. Anasema mashine hiyo inasaidia kufuatilia mara kwa mara uwezo wake wa kusikia.
Bryan anasema juhudi hizo hazijapata ufanisi wa kuridhisha lakini anajitahidi kufikia lengo lake.''Ni watu wachache wamevutiwa na jambo hili hasa watafiti kwani ni mwanzo mpya wa kuendeleza pale nitakapofikia. Lakini pia kuna wale walionikosoa sana. Hata hivyo nawapenda.’’
Pimbi wa Ludewa