Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashakwambia anatumiwa kwa namba za Urusi unadhani huyo jamaa nae ni mjinga 😕😕😕Binti amripoti huyo jamaa polisi, maana Sheria hairuhusu kusambaza video za utupu hata zako mwenyewe.
Blackmailing ni haramu.
Polisi kupitia kitengo chao Cha IT wataitress hiyo IP address inayorusha video hizo na jamaa atakamatwa Leo alfajiri kabla jogoo hajawika mara tatu 🐓🐓🐓
Ujinga sana.Hata kama ni mme wako au mke wako ke na me acheni ujinga wa kurekodi mavideo ya uchi
Ni yeye mwenyewe kama ukisoma btn lineMshauri rafiki yake amwambie bingo aende polisi kwa tahadhari ya hapo baadae.
Video nimezicheki na kiukweli zinatia hasira sana
Ni yeye mwenyewe kama ukisoma btn line
Sana tu mpk nawazaga nijitekemzee baba una miakili mingi sana...
Anafurahi kuziona.Kitufe cha block hakipo?
Sasa huyo Boyfriend wake wa sasa nae anapelekwa huko Buza?,sasa kimbembe kama mwamba nae aliomba ndogo harafu kidemu kikatoa nje,wakati kumbe kuna mwamba alikuwa anafumua linda kitamboo.Bwana mdogo, hizo video ni hatari kwa afya na pepo yako, kwasababu binti anapelekwa kwa mpalange. Usiziombe kutumiwa ukaja kuikosa pepo ya mungu. Nakushauri endelea kufanya ibada na funga, shetani usimpe nafasi.
Ila akikutumia, naomba na mimi uni PM hizo video nizi tathmini.
Kwahiyo polisi watazicheki kwanza hizo videos halafu watamcheki na demu mwenyewe alivyo, alafu watamcheki na jamaa huyu mpya kisha watakakonkludi kama jamaa naafidi au hafaidi au sio?Binti amripoti huyo jamaa polisi, maana Sheria hairuhusu kusambaza video za utupu hata zako mwenyewe.
Blackmailing ni haramu.
Polisi kupitia kitengo chao Cha IT wataitress hiyo IP address inayorusha video hizo na jamaa atakamatwa Leo alfajiri kabla jogoo hajawika mara tatu 🐓🐓🐓
Sure mkuu. Pia haitakiwi kumuacha kwa Nini. Kama vipi badili namba Kama kweli unampenda.Kuna watu wapumbavu na washamba sana, kama mtu umeachana nae mwache aendelee na Maisha yake sio kufuatana fuatana.
Kwa haraka haraka jamaa aliachwa huku akiwa bado anampenda huyo Demu, kwa akili yake anajua hiyo ndio silaha yake ya maangamizi.
Mimi kama ningekuwa huyo rafiki yako hata kama ingekuwa natoka na huyo Demu kwa kujishikiza, nisingemwacha mpaka huyo jamaa atulie kufanya ujinga wake
Kuna mambo mengine ukiyaficha ni kazi sana kupata msaada, huyo muhuni katuma videos nyingi 50 kidogo aisee, akiblokiwa anatuma videos nyingine kwa namba nyingine, binafsi kusaidia uchunguzi ama kutoa wazo nlicheki video mbili tu na hata sikuzimaliza maana ni vitendo vya kijinga mwanaume kutumia mwanaume mwenzako video ya gf wake.Jamaa yako nae ni jasiri,anakuonesha video za shemeji yako akinyanduliwa.
Hata wakifanikiwa kuoana,hiyo mipicha haitatoka kichwani mwako kamwe,utakua ukimuona unakumbuka kavideo.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app