"Mwahili akupata matako hulia nbwata" . Hao wanaonesha washaishi sana nje ya ndoa na kuzaa na hapo walipo watoto ni wakubwa. Mambo yalipojipa wakaamuwa wafanye sherehe.
Sherehe, ngoma, kulewa, jkujionesha, kujifaharisha ni
ujinga wa mwafrika, hususan Mtanzania, usiopona.