Anaye kwamisha nchi kukosa maendeleo ni ccm au mpinzani

Anaye kwamisha nchi kukosa maendeleo ni ccm au mpinzani

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Tokea tupate uhuru hakuna hata chama pinzani kilicho shikilia nafasi yoyote kama raisi,waziri mkuu wala waziri yoyote mwenye dhamana.

tuna fahamu kila raisi anayetoka ni wa ccm lakini kila anayekuja kubeba nafasi hiyo uonesha mwenzake aliyetoka alishindwa au kasoro fulani huku akisindikizwa na wale wafuasi wake wakumpamba kwa jina chawa.

usije shangaa 2025 kampeni ukaambiwa aliyopo ndio kakuza uchumi.

kwenye kampeni ukichunguza na ili makonda analolifanya hafahamu vyote vipo ccm sio chama pinzani
 
Tokea tupate uhuru hakuna hata chama pinzani kilicho shikilia nafasi yoyote kama raisi,waziri mkuu wala waziri yoyote mwenye dhamana.

tuna fahamu kila raisi anayetoka ni wa ccm lakini kila anayekuja kubeba nafasi hiyo uonesha mwenzake aliyetoka alishindwa au kasoro fulani huku akisindikizwa na wale wafuasi wake wakumpamba kwa jina chawa.

usije shangaa 2025 kampeni ukaambiwa aliyopo ndio kakuza uchumi.

kwenye kampeni ukichunguza na ili makonda analolifanya hafahamu vyote vipo ccm sio chama pinzani
Sasa kiswahili kinakusumbua Sana.
Anayekwamisha nchi kukosa maendeleo????
Sema: Anayekwamisha nchi kupata maendeleo.
 
Back
Top Bottom