Anayeajiri warembo wa promo za simu Kariakoo haendi peponi

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Yaani kkoo sasa hv mitaa ya maduka ya simu kuna pisi yaani zile pisi za promotion za heineken, whindhoek zinasubiri. Yaani jamaa anayeaJiri hao viumbe anapointi vitu hatari, yaani ukute wamepiga zile jinsi na tsheti zenye nembo za infinix au oppo zao unaweza jikuta unafata nyuma nyuma hadi corona inanyanyuka[emoji16].
Yaani unaweza jikuta una iphone 11 mwisho wa siku unashtuka umenunua li infinix bila kutegemea. Yaani nimetupa li infinix kwenye dustbin baada ya kujitambua utafikiri nimerogwa yaani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah! kweli katika maisha kila mtu anavipa umbele vyake, yaani kuona wadada wapo kazini corona inasimama??
itakua haupo serious na life mkuu
 
Picha mkuu tupige tbs maelezo yako
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…