Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Jamaa acha uongo pisi kali mm nmezibahatisha samsung china plaza kwingine hakuna kitu usidanganye
Infinix [emoji91][emoji91][emoji91]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa acha uongo pisi kali mm nmezibahatisha samsung china plaza kwingine hakuna kitu usidanganye
embu nitumie tupicha nihakikishe....Jamaa acha uongo pisi kali mm nmezibahatisha samsung china plaza kwingine hakuna kitu usidanganye
wee fala si ndio umeleta uzi bila picha hapa?
Baby unataka picha ya nini kwa mfanoUzi wako bila picha kazi bure.
Nione kama wanakufikia hata nusu.
Mleta uzi umeongelea kitu ambacho najiuliza kila siku, wale watoto wanalipwa shilingi ngapi?
Halafu ukiona wanavyokuita kwa kukonyeza sasa, dah!
Ukiona wananifikia au kunizidi utafanyaje babeNione kama wanakufikia hata nusu.
Du! kama hiyo avatar ni yako basi nawe chuma cha motodaaah mkuu si ungenipa mimi hiyo infinix 😀 , ona sasa wazoa taka watakavyojifaidia kitu kipya.
Ukimwi ushazoeleka bora limekuja hili jipya lituzindue upya.
dah! kweli katika maisha kila mtu anavipa umbele vyake, yaani kuona wadada wapo kazini corona inasimama??
itakua haupo serious na life mkuu
hhahahha aaaah wapi nimeiba gugo.Du! kama hiyo avatar ni yako basi nawe chuma cha moto
😄 😄 😄katupa kwenye dustbin ya room kwake[emoji23] na huwa hatuweki uchafu mule sisi mabaharia tunaoishi alone so ameitunza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
hakika karoho kameniuma
Uje twende jiraniembu nitumie tupicha nihakikishe....
hapana, unaona kabisa tena vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi nikasahau kuna mwaka flani kariakoo nilitaka kutongoza mdoli
Kuna kamtaa wanauza Sana mawigi halafu mawigi yamevishwa kwenye vichwa vya midoli na hiyo midoli inafanana na hao mabinti wanaouza mawigi