Anayeajiri warembo wa promo za simu Kariakoo haendi peponi

Anayeajiri warembo wa promo za simu Kariakoo haendi peponi

Ndioo hawa.
unnamed%20(6).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwi ushazoeleka bora limekuja hili jipya lituzindue upya.
dah! kweli katika maisha kila mtu anavipa umbele vyake, yaani kuona wadada wapo kazini corona inasimama??
itakua haupo serious na life mkuu
 
Siwezi nikasahau kuna mwaka flani kariakoo nilitaka kutongoza mdoli
Kuna kamtaa wanauza Sana mawigi halafu mawigi yamevishwa kwenye vichwa vya midoli na hiyo midoli inafanana na hao mabinti wanaouza mawigi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom