Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa! Tunashindwa kuifanya dunia sehem salama ya kuishi!.Kuna watu wao kwenda Mbinguni hawataki kabisaaa...
Unatoaje roho ya mtu? Unamdhulumu maisha yake, Unampiga mtu risasi unamkata mapanga anavyolia wewe husikii hata huruma! Kuna watu ni makatilii wana laana
DC1 ni Kingai, msisahau hiloSuspect police na mkuu wa mkoa aliyekamatwa
Kwahiyo wewe upo ibadani badala ya kusikiliza neno,upo busy na simu. Bora ungebaki nyumbani ti!Mkuu asubuhi hivi hata kwenye ibada bado hatujatafakari neno? Sio mchezo
Sawa kiongoziKwahiyo wewe upo ibadani badala ya kusikiliza neno,upo busy na simu. Bora ungebaki nyumbani ti!
Umeshapata taarifa ni nani kauawa,mbona unakimbilia kwa tumsime wakati aliyeuawa ni kijana wa kiume huko Muleba na mwandishi unayemzungumzia wewe aliyekamatwa na polusi ni wa kike?Swala la mda tu, Tumsime yatamkuta ya kumkuta. Maana Hili swala lipo kisiasa sana,
Yawezekana
1. Waliomtumia kuchapisha hizo habari wamemuua ili kupoteza ushahidi
2. Team ya ex- mkuu wa mkoa wameamua kulipa kisasa (Inasemekana mama na ex- RC ni miongoni mwa wasiojulikana)
......
Kifuatacho ITV Tumsime akae tayari maana pande zote zinaweza kufanya chochote aidha
1. Kufuta ushahidi (waliomtumia)
2. Kulipa kisasi maana wanajua fika kuwa Ex- RC kashaharibikiwa mazima
Tulia . Punguza pressureSwala la mda tu, Tumsime yatamkuta ya kumkuta. Maana Hili swala lipo kisiasa sana,
Yawezekana
1. Waliomtumia kuchapisha hizo habari wamemuua ili kupoteza ushahidi
2. Team ya ex- mkuu wa mkoa wameamua kulipa kisasa (Inasemekana mama na ex- RC ni miongoni mwa wasiojulikana)
......
Kifuatacho ITV Tumsime akae tayari maana pande zote zinaweza kufanya chochote aidha
1. Kufuta ushahidi (waliomtumia)
2. Kulipa kisasi maana wanajua fika kuwa Ex- RC kashaharibikiwa mazima
Tetesi iwe habari kuu?!🐼Kwa wanahabari makini, hii ndio ilipaswa kuwa habari kuu katika magazeti yote ya leo.
Pole sana mkuu. CCM unawatishia na kutokwenda mbiguni? Hawa lugha watakayoisikia ni wananchi kufanya riot kubwa kabisa na kuwavurumusha. Trust me, hakuna njia nyingine.Kuna watu wao kwenda Mbinguni hawataki kabisaaa...
Unatoaje roho ya mtu? Unamdhulumu maisha yake, Unampiga mtu risasi unamkata mapanga anavyolia wewe husikii hata huruma! Kuna watu ni makatilii wana laana
Una uhakika ni yeye? Unajua kama huna uhakika utakuwa unawaweka watu wake kwenye hofu kubwa?Swala la mda tu, Tumsime yatamkuta ya kumkuta. Maana Hili swala lipo kisiasa sana,
Yawezekana
1. Waliomtumia kuchapisha hizo habari wamemuua ili kupoteza ushahidi
2. Team ya ex- mkuu wa mkoa wameamua kulipa kisasa (Inasemekana mama na ex- RC ni miongoni mwa wasiojulikana)
......
Kifuatacho ITV Tumsime akae tayari maana pande zote zinaweza kufanya chochote aidha
1. Kufuta ushahidi (waliomtumia)
2. Kulipa kisasi maana wanajua fika kuwa Ex- RC kashaharibikiwa mazima
Back at you The Stress Challengerr ..!I love you
Kuusia wahalifu kuwa na hofu ya Mungu au nao watakufa nako ni uendawazimu mwingine. Ingekuwa inafanya kazi unadhani hii dunia ingekuwa na wahalifu?Kabisa! Tunashindwa kuifanya dunia sehem salama ya kuishi!.
Huwa najiuliza hivo hivo unakuwaje unamtendea mtu ubaya( mauwaji, wizi, kurogana, uchawi e.t.c) ili hali hakuna anayeishi milele.
Watu hawana hofu kabisa ya Mungu.
Ipi ni heri!Una uhakika ni yeye? Unajua kama huna uhakika utakuwa unawaweka watu wake kwenye hofu
Kwani huyo mwandishi wa kike,ndiyo kafa??Hii ishu ilitosha kwa nchi ambayo wananchi wake wanajielewa na sio waoga kuingia road na kuondoa ama kuua baadhi ya watu walioko madarakani.
Why wamuue kisa kuandika habari za rc kulawiti Ila huyu binti wa kihaya ataondoa wengi tokea amfunge bodaboda.
Yaani mhaya ni WA kuogopa Kama ukoma.
Walimkamata na ushahidi upo hata chairman wao alisema.
Ila bana ndio mana wanawabania watu suala la elimu ili watu wasiamke wawe makondoo wazidi kutawaliwa hawana ujasiri pia elimu hawana.
Cheki Kilimanjaro walivyosoma huwa wanahoji na vyama vingi vya siasa vinatokea huko kwao na cheki tarime hawajasoma Ila ujasiri wao unawasaidia kidogo ingawa jamaa wanatumia silaha.
Ndani ya mwezi huu ama uliopita wameiba vijana kadhaa ambao wanatafuta Yale makapi ambayo mzungu anatupa.
Huwezi wasikia uvccm wanatumia jukwaa ama wachungaji wa kidini wakikemea hili suala Mana hawajapewa maji ama bahasha ama kupigiwa simu na mdhamini wao
Kwa maelezo ya mleta maada inaonekana ndiye yeye.Kwani huyo mwandishi wa kike,ndiyo kafa??
Ova