Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kwa kweli,Kuna watu wao kwenda Mbinguni hawataki kabisaaa...
Unatoaje roho ya mtu? Unamdhulumu maisha yake, Unampiga mtu risasi unamkata mapanga anavyolia wewe husikii hata huruma! Kuna watu ni makatilii wana laana
Ni unyama Sanaa na ukatili ulio vuka mipaka