Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
KATAA NDOA!Aisee í ½í¸í ½í¸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KATAA NDOA!Aisee í ½í¸í ½í¸
Msisahau ile Agenda iliyo kwama wiki iliyo pita ikihusisha baadhi ya wajumbe kuwa na skendo ya kuoaTaarifa imetufikia, tupo kwenye kikao, punde tutakuja na taarifa kamili. Usisahau, KATAA NDOA, NDOA NI KIFO!
Amegonga treniAkisimulia tukio hilo mmoja wa mashuhuda aliileza Mwananchi Digital kuwa wakati treni hiyo ikitokea Ubungo kuelekea Gerezani, ikiwa maeneo ya Maziwa gafla alijitokeza akiwa na viatu mkononi kisha kujirusha.
Miaka hii kufuga ng'ombe kwaajili ya glass moja ya maziwa ni mateso wakati waweza kunywa maziwa restaurent au kwa mama lisheHivi karibuni kumekuwa na matukio ya watu kujiua na wengine kuua, wenza wao sababu nyingi zikihusishwa na wivu wa mapenzi na imani za kishirikina.
Mwanahamisi mjeshi, zingatia hapo kwenye mjeshi .Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina na Omary amefariki baada ya kujirusha kwenye treni eneo la Ubungo Maziwa baada ya kudaiwa kumua mke wake Mwanahamisi Mjeshi.
Kwa mujibu wa taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii, zinaekeza kuwa tukio hilo la mwanamke kuuwawa zimetokea leo Jumatano Juni 28,203 saa moja asubuhi.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne amethibitisha kutokea kwa tukio hilo,
“Taarifa hizo ni za kweli na yeye amejirusha kwenye treni, lakini tunaendelea kufuatilia kwa karibu, taarifa zaidi nitazitoa lakini tukio hilo lipo,” alisema Muliro.
Akisimulia tukio hilo mmoja wa mashuhuda aliileza Mwananchi Digital kuwa wakati treni hiyo ikitokea Ubungo kuelekea Gerezani, ikiwa maeneo ya Maziwa gafla alijitokeza akiwa na viatu mkononi kisha kujirusha.
“Tukio limetokea saa 12 kasoro wakati treni ikitoka Ubungo kuelekea Gerezani, alijitokeza mwanaume akiwa anakimbia huku akiwa ameshika viatu mkononi na kujirusha kwenye treni,” ameeleza shuhuda huyo.
Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya watu kujiua na wengine kuua, wenza wao sababu nyingi zikihusishwa na wivu wa mapenzi na imani za kishirikina.
Februari mwaka huu Fausta Tesha (26), mkazi wa Mero Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro ameuawa kwa kukatwa na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na kisha mwanaye wa wiki mbili kujeruhiwa kwa kisu na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) hata hivyo alifariki baadaye.
Kuna mtu aliulizwa kama amewahi kuvuta hewa ya oxygen maishani mwake, akaruka kimanga akawataka wote waliowahi kuvuta hewa hiyo waende wakatubu na kumrudia Mungu harakaMatatizo ya Akili yapo katika jamii
Tutatoa tamko rasmi!Msisahau ile Agenda iliyo kwama wiki iliyo pita ikihusisa kuoa
Hao ni wataka trendKuna mtu aliulizwa kama amewahi kuvuta hewa ya oxygen, akaruka kimanga akawataka wote waliowahi kuvuta hewa hiyo waende wakatubu na kumrudia Mungu haraka
Pamebeba maana nzito huenda Omary alipigwa dril ya kutoshaMwanahamisi mjeshi, zingatia hapo kwenye mjeshi .
Wapumzike wanapostahili.
Apumzike kwa amani 🙏🏽Asingeoa asingekufa
Unamaanisha nini 😐😐KATAA NDOA!
[emoji23][emoji23] na Mimi NAKAZIA KWA NGUVUNAKAZIA KWA NGUVU
NAKAZIA PIA HADI NAISHIWA NGUVUNAKAZIA KWA NGUVU
Please, usiwasikilize hawaHaya sawa😥