Anayedaiwa kumuua mkewe ajirusha na kuligonga treni, afariki dunia

Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya watu kujiua na wengine kuua, wenza wao sababu nyingi zikihusishwa na wivu wa mapenzi na imani za kishirikina.
Miaka hii kufuga ng'ombe kwaajili ya glass moja ya maziwa ni mateso wakati waweza kunywa maziwa restaurent au kwa mama lishe
 
Mwanahamisi mjeshi, zingatia hapo kwenye mjeshi .

Wapumzike wanapostahili.
 
Matatizo ya Akili yapo katika jamii
Kuna mtu aliulizwa kama amewahi kuvuta hewa ya oxygen maishani mwake, akaruka kimanga akawataka wote waliowahi kuvuta hewa hiyo waende wakatubu na kumrudia Mungu haraka
 
Wanawake mnaoteseka wote njooni kwangu niwape upendo wa dhati..,
Nataka wale walioshindikana na kuteswa

Kama hamtaki, baki na bichwa lako kama chungu huko uliko uuwawe, Rubish kabisa
 
Kuna mtu aliulizwa kama amewahi kuvuta hewa ya oxygen, akaruka kimanga akawataka wote waliowahi kuvuta hewa hiyo waende wakatubu na kumrudia Mungu haraka
Hao ni wataka trend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…