Anayedaiwa kumuua ‘Trafiki’ kuhukumiwa Machi 2023

Anayedaiwa kumuua ‘Trafiki’ kuhukumiwa Machi 2023

Huyu si ndio mmiliki wa BM SALOON ya Kinondoni. Jamaa anaukwasi wa kutisha sana na sijui kama maafisa wa wa maadili wameshamchunguza huyu. Polisi hasa idara ya upelelezi ni matajiri sana tena sana wana utajiri wa kutisha, ila huyu BM mwisho wake kamwe hauwezi kuwa mwema. Polisi wengi wanaobambikia watu kesi wanamaliza maisha yao kwa mateso makubwa sana. Wabunge wetu lazima watakiwe kuwepo na chombo cha kujilizisha na hizi kesi kabla ya kumpeleka mtuhumiwa mahakamani kwa kumhoji askari anayehusika na kesi hiyo kwa kula kiapo. Tuachane a huyu DPP.
BM ni ya benno

Huyu Ana bar iko nyuma ya mwanamboka,Ana majumba
Si umeona tu mpira anausukuma
Ngoja tuishie hapa,sema jamaa linajuwa kujiongeza na kujijenga

Ova
 
Kavipata wapi vyote hivi?! Kwa wenzetu walioendelea na wanaoheshimu utu na heshima, huyu BM kamwe asingekuwepo kazini lakini ndio hivyo nchi imeoza sana hii mtu unatakiwa kukaa kwa tahadhari kubwa sana. Mahakama, polisi na majaji wetu wanaendeshwa na rushwa tu.
Unamjua mke wake yule raia wa kiganda lkn,umeuona ukwasi wake naye

Ova
 
Yani JF ya siku ndo hivi hivi yani.. Usitarajie kupata habari kamili... Yani kama chats za wasapu.
Ni kama vile wote tunaelewa story yote, hapo wanataka kubembelezwa ili wafunguke [emoji1787][emoji1787]
 
Ben kabla ya kuwa na Magufuli alipata mdada mmoja wa Kiganda ana Pesa sana,wakazaa na wanaishi wote mpaka leo,huyo Dada ni mfanyabiashara ana maduka mengi Kariakoo,ikabidi Mke halali wa Ndoa asalimu amri tu na alipewa kila kitu na kufunguliwa biashara,mara likaja zali za kuwa Bodyguard wa Magufuli ambako nako alipiga mpunga mwingi sana hivyo ana vitega Uchumi vingi Sinza,Mwenge,ile Bar pale nyuma ya Kituo cha Mafuta nk,kazi ya Upolisi imebaki kama security tu lakini sio kwamba anaitegemea,zaidi ya hapo ni jamaa muungwana sana
Namjuwa hyo dada,anaukwasi wa htr
Analeta mavitenge makontena kwa makontena
Mara ya mwisho tulikuwa naye kwenye msiba wa mwanasheria wake
Dpc Church kinondoni...
Ambaye huyo mwanasheria alikuwa mtu wangu wa karibu sana
Show yote ya msiba aliusimamia yeye
Ngj tuishie hapa

Ova
 
Namjuwa hyo dada,anaukwasi wa htr
Analeta mavitenge makontena kwa makontena
Mara ya mwisho tulikuwa naye kwenye msiba wa mwanasheria wake
Dpc Church kinondoni...
Ambaye huyo mwanasheria alikuwa mtu wangu wa karibu sana
Show yote ya msiba aliusimamia yeye
Ngj tuishie hapa

Ova
Yes,analeta mzigo mkubwa wa jumla kutoka China huko hivyo ana Pesa chafu,so kazi ya Upolisi kwa Ben imebaki kama security tu kulinda biashara hizo nk
 
Mbona DDP anawafutia kesi watu wakubwa lakini wananchi wa kawaida hawa futii kesi?

Kuna uwezekano hata ya huyu ikafutwa kama hakutakuwa na ushahidi wa kutosha
 
beni magufuli wa ostabey polisi sikosei!.

Naomba kukazia kidogo

unafahamu kwa nini wananchi sasa wanaogopa kutoa ushirikiano.
polisi wa tz unaweza kuwa na nia nzuri ya kutoa ushaidi ila mwisho wa siku shaidi ukawa mtuhumiwa
sijui kwann wana ajiri watu wa form four tena waliofeli kuwa mapolisi?
 
Kwanza ninaungana na familia ya marehemu trafiki polisi kuomboleza msiba wa ndugu yao kipenzi. Hasara ya kumpoteza mtu huwa haina replacement. Tunamuomba Mungu ampumzishe askari wetu.

Jambo la pili. Kwa maelezo ya shahidi ni wazi kuwa jeshi la polisi wamejiweka juu ya sheria ambapo wanamkamata na kumshtaki mtu yeyote hata kama hakuna ushahidi unaojitosheleza.

Kinachosababisha hili ni kutoheshimiwa kwa Katiba na Sheria za nchi kunakofanywa na viongozi wetu wanaowateua makamanda wa polisi.

Mungu atussidie

mkuu subiri siku udhurike halafu usikie mtu anakwambia mambo ya kufuata sheria na katiba katika kukamata mtu.

raia wanaoua vibaka mtaani kwa moto wanakwepa sheria hii hii kwa kujua itambeba mhalifu aendelee kusumbua.

by the way,linapokuja swala la kesi polisi wanawezakuwa wazembe,wababaishaji,sio waadilifu lakini tukumbuke wanaofunga mtu sio wao,kama kuna uonezi mahakama itasimama.
wakili utasimama na mteja wako kuhoji haki zake akiwa anakamatwa au baada ya kukamatwa,ila kumuondolewa tuhuma ikawa balaa jingine.
 
Mang'ula ya wapi hiyo! Nimeishi kwa miaka sana hapo. Nakumbuka sana maeneo ya Mang'ula A, B, Corner, Posta, Mwaya, Mgudeni, Katulukila,
Mang'ula barabara ya kuelekea kisawasawa ukitoka kituo chao cha stand mbele kidogo almaaruf kwa machejo plaikuwa kunamashamba ya miwa sana. bas apo apo traffic amebutuliwa dah amekata moto damu tupu aisee. boda yupo kitandan na ulinzi mkubwa
 
Yes,analeta mzigo mkubwa wa jumla kutoka China huko hivyo ana Pesa chafu,so kazi ya Upolisi kwa Ben imebaki kama security tu kulinda biashara hizo nk
Na uskute huyo mwanamke yuko kimkakati na huyo jamaa akistaafu tu upolisi wanabwagana
 
Back
Top Bottom