Anayedaiwa kumuua ‘Trafiki’ kuhukumiwa Machi 2023

BM ni ya benno

Huyu Ana bar iko nyuma ya mwanamboka,Ana majumba
Si umeona tu mpira anausukuma
Ngoja tuishie hapa,sema jamaa linajuwa kujiongeza na kujijenga

Ova
 
Unamjua mke wake yule raia wa kiganda lkn,umeuona ukwasi wake naye

Ova
 
Yani JF ya siku ndo hivi hivi yani.. Usitarajie kupata habari kamili... Yani kama chats za wasapu.
Ni kama vile wote tunaelewa story yote, hapo wanataka kubembelezwa ili wafunguke [emoji1787][emoji1787]
 
Namjuwa hyo dada,anaukwasi wa htr
Analeta mavitenge makontena kwa makontena
Mara ya mwisho tulikuwa naye kwenye msiba wa mwanasheria wake
Dpc Church kinondoni...
Ambaye huyo mwanasheria alikuwa mtu wangu wa karibu sana
Show yote ya msiba aliusimamia yeye
Ngj tuishie hapa

Ova
 
Yes,analeta mzigo mkubwa wa jumla kutoka China huko hivyo ana Pesa chafu,so kazi ya Upolisi kwa Ben imebaki kama security tu kulinda biashara hizo nk
 
Yes,analeta mzigo mkubwa wa jumla kutoka China huko hivyo ana Pesa chafu,so kazi ya Upolisi kwa Ben imebaki kama security tu kulinda biashara hizo nk
Hagusi mshahara huyo...

Ova
 
Mbona DDP anawafutia kesi watu wakubwa lakini wananchi wa kawaida hawa futii kesi?

Kuna uwezekano hata ya huyu ikafutwa kama hakutakuwa na ushahidi wa kutosha
 
beni magufuli wa ostabey polisi sikosei!.

Naomba kukazia kidogo

unafahamu kwa nini wananchi sasa wanaogopa kutoa ushirikiano.
polisi wa tz unaweza kuwa na nia nzuri ya kutoa ushaidi ila mwisho wa siku shaidi ukawa mtuhumiwa
sijui kwann wana ajiri watu wa form four tena waliofeli kuwa mapolisi?
 

mkuu subiri siku udhurike halafu usikie mtu anakwambia mambo ya kufuata sheria na katiba katika kukamata mtu.

raia wanaoua vibaka mtaani kwa moto wanakwepa sheria hii hii kwa kujua itambeba mhalifu aendelee kusumbua.

by the way,linapokuja swala la kesi polisi wanawezakuwa wazembe,wababaishaji,sio waadilifu lakini tukumbuke wanaofunga mtu sio wao,kama kuna uonezi mahakama itasimama.
wakili utasimama na mteja wako kuhoji haki zake akiwa anakamatwa au baada ya kukamatwa,ila kumuondolewa tuhuma ikawa balaa jingine.
 
Mang'ula ya wapi hiyo! Nimeishi kwa miaka sana hapo. Nakumbuka sana maeneo ya Mang'ula A, B, Corner, Posta, Mwaya, Mgudeni, Katulukila,
Mang'ula barabara ya kuelekea kisawasawa ukitoka kituo chao cha stand mbele kidogo almaaruf kwa machejo plaikuwa kunamashamba ya miwa sana. bas apo apo traffic amebutuliwa dah amekata moto damu tupu aisee. boda yupo kitandan na ulinzi mkubwa
 
Yes,analeta mzigo mkubwa wa jumla kutoka China huko hivyo ana Pesa chafu,so kazi ya Upolisi kwa Ben imebaki kama security tu kulinda biashara hizo nk
Na uskute huyo mwanamke yuko kimkakati na huyo jamaa akistaafu tu upolisi wanabwagana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…