Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Radio gani tena?Yaani radio ya inatengenezwa na mtu?
Huu ujinga wa Watanganyika upo Kwa kiwango Cha Juu mno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Radio gani tena?Yaani radio ya inatengenezwa na mtu?
Huu ujinga wa Watanganyika upo Kwa kiwango Cha Juu mno!
watu wana hatari sanaDuh kapigwa na kitu chenye ncha kali+kitu kizito
Ova
NomaDuh kapigwa na kitu chenye ncha kali+kitu kizito
Ova
Kabisa.What a shame!Hili ndiyo Taifa ambalo limejengwa kwa miaka 60 ya uhuru ambapo watu wake bado wanaamini kuwa radi hutengenezwa na binadamu🚶🚶🚶
Wapi huko?[emoji1][emoji1] sehemu ambayo mtu akijenga kwao nyumba ya bati tu kifuatacho Ni kulogwa?
Engineer Baraka piga radi huyo.
Afghanistan,kabulWapi huko?
[emoji7]Afghanistan,kabul
utakuta walienda kuchungulia kwa mganga akawaambia fulani ndio anafanya huo utaratibuHuyo angekuwa mjanja angekuja dar , Radi moja angeuza laki moja
Ma ex wangetupiana sana radi
Angalau basi miaka 60 itupe uzalendo wa kuwaenzi wanasayansi wetu wa jadi. Ukatili haulipiWhat a shame!Hili ndiyo Taifa ambalo limejengwa kwa miaka 60 ya uhuru ambapo watu wake bado wanaamini kuwa radi hutengenezwa na binadamu🚶🚶🚶
Hao wanasayansi wetu wa jadi ni akina nani hao?Angalau basi miaka 60 itupe uzalendo wa kuwaenzi wanasayansi wetu wa jadi. Ukatili haulipi
Wametupotezea mtaalam mvumbuzi kama Tesla.Katavi. Baraka Said (30) mkazi wa kijiji cha Mtisi halmashauri ya Nsimbo ameuawa na wananchi baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kwenye paji la uso na kupigwa na kitu kizito kisogoni akituhumiwa kujihusisha na ushirikina wa kutengeneza radi.
Akizungumza na wanahabari leo Januari 29, 2022 kaimu kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi, Sylvester Ibrahimu amesema tukio hilo limetokea Januari 24, 2022 saa 12 jioni kijijini hapo.
Amesema wananchi hao walimtuhumu marehemu kutengeneza radi iliyompiga Anjelina Revocatus (16) mkazi wa kijiji hicho na kusababisha kifo chake wakati anatibiwa hospitali ya rufaa Mkoa wa Katavi.
"Watuhumiwa nane wamekamatwa,John Mayonjuwa, Mashaka Mathias, Sele Richard, Revocatus Reymond, Julias Dalali, Hawa Rashid, Agnes Rashid na Tausi Abdu. Upelekezi ukikamilika watafikishwa mahakamani," amesema Ibrahimu.
Katika tukio jingine Ibrahimu amesema nyumba 10 zilizojengwa kwa miti na kuezekwa kwa nyasi kijiji cha Igongwe zimechomwa moto na kuteketeza mali zote zilizokuwa ndani.
Amesema tukio hilo limefanywa na baadhi ya wananchi wa Stalike waliojichukulia sheria mkononi wakigombania mashamba kati yao na kijiji cha Igongwe lililopelekea kifo cha Klisent Mwananjela (40) mkazi wa kijiji cha Stalike.
![]()
Anayedaiwa kutengeneza radi auawa na wananchi
Baraka Said (30) mkazi wa kijiji cha Mtisi halmashauri ya Nsimbo ameuawa na wananchi baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kwenye paji la uso na kupigwa na kitu kizito kisogoni akituhumiwa...www.mwananchi.co.tz
ushahidi hawana hapoWana ushahidi , Imani za kishirikina zinatumaliza watanganyika
Baraka Kabisu, mkazi wa Halmshauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi, ameuawa na wananchi wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa ni mchawi anayetengeneza radi, ambayo ilikwenda kumpiga Anjelina Revocatus na kufariki dunia. RPC Katavi amesema tukio hilo limetokea Januari 24, 2022 View attachment 2102981
ukimwi [emoji848][emoji848]Haya mambo hayana ushahidi ila yapo katika ulimwengu wa roho. Mpaka ukimwi unatengenezwa.