Anayedaiwa kutengeneza radi auawa na wananchi

Huyo angekuwa mjanja angekuja dar , Radi moja angeuza laki moja
Ma ex wangetupiana sana radi
 
What a shame!Hili ndiyo Taifa ambalo limejengwa kwa miaka 60 ya uhuru ambapo watu wake bado wanaamini kuwa radi hutengenezwa na binadamu🚶🚶🚶
Angalau basi miaka 60 itupe uzalendo wa kuwaenzi wanasayansi wetu wa jadi. Ukatili haulipi
 
Wametupotezea mtaalam mvumbuzi kama Tesla.
Inabidi serikali ifikirie kuwaajirí watu hawa wawe wanatengeneza silaha ambazo tutazitumua kujilinda. Tunatuma radi moja inaenda kupiga fleet za ndege za F15 zilizopaki zikijiandaa kutushambulia 🤣🤣
 
Baraka Kabisu, mkazi wa Halmshauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi, ameuawa na wananchi wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa ni mchawi anayetengeneza radi, ambayo ilikwenda kumpiga Anjelina Revocatus na kufariki dunia. RPC Katavi amesema tukio hilo limetokea Januari 24, 2022
 
Haya mambo hayana ushahidi ila yapo katika ulimwengu wa roho. Mpaka ukimwi unatengenezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…