Mke katulia zake Nyumbani anakula rahaa,Mungu ndiyo anampambania kwa njia zake!![emoji3][emoji3][emoji38]Kwa hiyo mke kajiweka pembeni, shughuli ya kutoa discipline kaachiwa mchepuko.....ama kweli ukistaajabu ya Musa......
😅😅Tena akija nyumbani mke umpashia ya moto unatia chumvi, magad,i pilipili na tangawizi akaoshee kidonda.
Wamenyoshana hao greengardkwahiyo mwamba kaamua kunyooka naye kama kawa anatekeleza kauli mbiu ya mh supika
Ukatibu wa uvccm tu basi ana amichepuka kila mtaa. Huyu akipata uDAS si hatari?Zamu ya makatibu sasa
chezeiya mkongo wewe mwingine akimuingilia katika anga zake lazima kinuke tu vumbi sio poa mazeemama UWT ana ujasiri.
Unataka kusema vumbi siyo poa, au promo tu.chezeiya mkongo wewe mwingine akimuingilia katika anga zake lazima kinuke tu vumbi sio poa mazee