Sina bosi mkuu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mm mnanifurahisha kwa kujitia moyo while deep inside mnaumia kinyamaa madudu anayoyafanya boss wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema la ukweli nyie ndo mnafurahisha na mnalijua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mm mnanifurahisha kwa kujitia moyo while deep inside mnaumia kinyamaa madudu anayoyafanya boss wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili nyepesi kama yako pia zilipendwa.Kama hashindani nae kwann alisubiri kiba atoe tena siku hiyohiyo aliotoa kiba ukweli mnaujua sema mnajitia wendawazimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka tukuambie aina ya muziki anaimba Diamond au umetuita tuje kuona chuki zako juu yake yeye.? Hata haviendani na kichwa cha habariteh teh teh teh teh teh teh!
huyu jama amebaki anaangalia aimbe staili gani ili walau aendelee kubaki kwenye headline. Muziki mtamu tuliouzoe kutoka kwa diamond miaka ya 2010, 2011, 2012,2013,2014, siyo kama miziki tunayoiona ikiimbwa na msanii huyu. kwa sasa ni kama kapoteza mwelekeo.
duuhhh! laana ya baba yake inamtafuna na kwa hali hii muda si mrefu si kuuza karanga tu Bali hata kukusanya taka kitamhusu
[HASHTAG]#seduce[/HASHTAG] me [HASHTAG]#kipusa[/HASHTAG]"unatuaibisha" na nani? jisemee mwenyewe,Kipusa naye [HASHTAG]#Zilipendwa[/HASHTAG]....
Katika mziki wa Africa?you are mad!Hii zilipendwa ni ngoma kali sana kuwahi kutokea katika muziki wa africa.
Wewe mtoa maada jiongelee mwenyewe...mimi kam shabiki nimeikubali kinoma
Hapa niko nainywea chai
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa maoni yako...maoni yangu ni kwamba hio ngoma ni kali africa nzima..Katika mziki wa Africa?you are mad!
Hebu nitajie utajiri wa Muuza karangaPambana na hali yako,yule sasa hiv hafany mzik wa kutafta pesa,yule ana enjoy tuu,pesa anayo ya kufa mtu,..alikiba ndo njaa inamtandika,..apambane ,lakin hawez fika alikofika diamond hata aimbe had afkie miaka70
Mojawapo kati ya nyuzi za kishambenga katika Jf. Uzi wa kikekike umejaa ushakunaku na misuto. Mtoto wa kiume mambo haya hayakufai PAMBANA NA HALI YAKO.teh teh teh teh teh teh teh!
huyu jama amebaki anaangalia aimbe staili gani ili walau aendelee kubaki kwenye headline. Muziki mtamu tuliouzoe kutoka kwa diamond miaka ya 2010, 2011, 2012,2013,2014, siyo kama miziki tunayoiona ikiimbwa na msanii huyu. kwa sasa ni kama kapoteza mwelekeo.
duuhhh! laana ya baba yake inamtafuna na kwa hali hii muda si mrefu si kuuza karanga tu Bali hata kukusanya taka kitamhusu
Diamond umeanza kuwa mtumwa bila ww kujijua, unawekeza nguvu nyingi sana kushindana na mtu ambaye hana time na ww. Before nilikuwa naona kama kiba ndo alikuwa anasafiria nyota yako lakin naona kibao kimegeuka ghafla umekuwa mtumwa, jamaa anacheza na akili yako kama mtoto, ni aibu kubwa sana kikundi cha watu mia kushindana na mtu mmoja, kaa chini tafakari acha kutoa nyimbo kwa mashindano na kukomoana mziki siyo vita mziki ni burudani rudi kwenye zama zako kipindi unatoa nyimbo zenye hisia na zilizotulia, unafeli sana jitafakari sipendezwi na huu uzwazwa unaouendekeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri Kama huu angeutoa mwanasheria ungelipiwa lakini wewe umempa bure kabisa.Diamond umeanza kuwa mtumwa bila ww kujijua, unawekeza nguvu nyingi sana kushindana na mtu ambaye hana time na ww. Before nilikuwa naona kama kiba ndo alikuwa anasafiria nyota yako lakin naona kibao kimegeuka ghafla umekuwa mtumwa, jamaa anacheza na akili yako kama mtoto, ni aibu kubwa sana kikundi cha watu mia kushindana na mtu mmoja, kaa chini tafakari acha kutoa nyimbo kwa mashindano na kukomoana mziki siyo vita mziki ni burudani rudi kwenye zama zako kipindi unatoa nyimbo zenye hisia na zilizotulia, unafeli sana jitafakari sipendezwi na huu uzwazwa unaouendekeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au team yake