Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Habari wakuu,
Napenda kuulizia kama kuna mtu anayefahamu kuhusu huduma ya kifedha ya mikopo ya ada ya masomo (tuition fees) tajwa hapo juu kwa ajili ya wanachuo wa Shahada.
Maana nina shida ya ada kwa mwaka mmoja tu, then nitakuwa nawalipa kidogo in future times
Msaada please.
Napenda kuulizia kama kuna mtu anayefahamu kuhusu huduma ya kifedha ya mikopo ya ada ya masomo (tuition fees) tajwa hapo juu kwa ajili ya wanachuo wa Shahada.
Maana nina shida ya ada kwa mwaka mmoja tu, then nitakuwa nawalipa kidogo in future times
Msaada please.