Waumini wa kanisa katoliki msingi wake ni familia. Kama unaota na unaamka nataka kanisa LA kujiunga uje katoliki hutalielewa kamwe.😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise. Mh!😷
Kama msingi wake ni family basi sabato ndo baba lao mkuuWaumini wa kanisa katoliki msingi wake ni familia. Kama unaota na unaamka nataka kanisa LA kujiunga uje katoliki hutalielewa kamwe.
Kabla ya kujiunga kuna mafundisho rasmi then ndio ubatizwe. Haujiungi tu kwasababu unajisikia but lazima uelewae Catholic maanake nini na ukiri imani.
Kama msingi wake ni family basi sabato ndo baba lao mkuu
Sabato siwajui na Wala sifanyi comparison but nilikuwa na mjibu kwamba kanisa katoliki msingi wake unajengwa kwenye familia, wazazi ndio huwajenga watoto kuelewa ukatoliki.Kama msingi wake ni family basi sabato ndo baba lao mkuu
Sabato siwajui na Wala sifanyi comparison but nilikuwa na mjibu kwamba kanisa katoliki msingi wake unajengwa kwenye familia, wazazi ndio huwajenga watoto kuelewa ukatoliki.
Kanisa inatakiwa iwe sehemu ya mtu kulelewa na kukua kiroho.....sasa kanisa ambalo kila mtu anatenda vile apendavyo lengo lake ni nini? Siwezi kwenda kanisa kama hilo bora nilale homeHayo ni juu yako mkuu. Njoo tunywe bia mkuu[emoji23][emoji91][emoji91][emoji91] sisi huwaga hatuna shida ndogo ndogo... we pambana na imani yako. Sisi tunaipenda wenyewe.. View attachment 1788897
Kwamba hatukui kiroho ama? Hatulelewi ama?Kanisa inatakiwa iwe sehemu ya mtu kulelewa na kukua kiroho.....sasa kanisa ambalo kila mtu anatenda vile apendavyo lengo lake ni nini? Siwezi kwenda kanisa kama hilo bora nilale home
Hahaha AminaaBia niliisha acha kunywa labda konyagi nau vodka
Bia ni chai usipende kunywa
Nenda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri hutajuta.Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona kanisa linatumia maturubai na viti vya plastiki ujue umeshapigwa.
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Tafuta Jumba la ufalme la mashahidi wa Yehova.Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k