mriringa
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 663
- 714
Bado naona unachangamoto kiroho mkuu. Rudi kwenye imani ya wazazi wako kwanza maana point namba 8 sijui kama kuna kanisa la machizi tu duniani ila ukiwa kwenye jamii yoyote ile kanisani kuna watu wote wenye akili na wasio na akili, maskini na tajiri na wote tunamlilia Mungu.
Sasa mkuu anzisha kanisa lako nadhani litakuwa na misingi unayotaka. Ila makanisa ya CCT ni bora zaidi na yanalea na kukuza imani kwa usahihi maana ni makanisa yenye mifumo ya LITRUJIA yaani maandalizi ya ibada na maungamo.
Sasa mkuu anzisha kanisa lako nadhani litakuwa na misingi unayotaka. Ila makanisa ya CCT ni bora zaidi na yanalea na kukuza imani kwa usahihi maana ni makanisa yenye mifumo ya LITRUJIA yaani maandalizi ya ibada na maungamo.