Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Bado naona unachangamoto kiroho mkuu. Rudi kwenye imani ya wazazi wako kwanza maana point namba 8 sijui kama kuna kanisa la machizi tu duniani ila ukiwa kwenye jamii yoyote ile kanisani kuna watu wote wenye akili na wasio na akili, maskini na tajiri na wote tunamlilia Mungu.

Sasa mkuu anzisha kanisa lako nadhani litakuwa na misingi unayotaka. Ila makanisa ya CCT ni bora zaidi na yanalea na kukuza imani kwa usahihi maana ni makanisa yenye mifumo ya LITRUJIA yaani maandalizi ya ibada na maungamo.
 
😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise. Mh!😷
Waumini wa kanisa katoliki msingi wake ni familia. Kama unaota na unaamka nataka kanisa LA kujiunga uje katoliki hutalielewa kamwe.

Kabla ya kujiunga kuna mafundisho rasmi then ndio ubatizwe. Haujiungi tu kwasababu unajisikia but lazima uelewae Catholic maanake nini na ukiri imani.
 
Waumini wa kanisa katoliki msingi wake ni familia. Kama unaota na unaamka nataka kanisa LA kujiunga uje katoliki hutalielewa kamwe.

Kabla ya kujiunga kuna mafundisho rasmi then ndio ubatizwe. Haujiungi tu kwasababu unajisikia but lazima uelewae Catholic maanake nini na ukiri imani.
Kama msingi wake ni family basi sabato ndo baba lao mkuu
 
Hayo ni juu yako mkuu. Njoo tunywe bia mkuu[emoji23][emoji91][emoji91][emoji91] sisi huwaga hatuna shida ndogo ndogo... we pambana na imani yako. Sisi tunaipenda wenyewe.. View attachment 1788897
Kanisa inatakiwa iwe sehemu ya mtu kulelewa na kukua kiroho.....sasa kanisa ambalo kila mtu anatenda vile apendavyo lengo lake ni nini? Siwezi kwenda kanisa kama hilo bora nilale home
 
Kanisa inatakiwa iwe sehemu ya mtu kulelewa na kukua kiroho.....sasa kanisa ambalo kila mtu anatenda vile apendavyo lengo lake ni nini? Siwezi kwenda kanisa kama hilo bora nilale home
Kwamba hatukui kiroho ama? Hatulelewi ama?
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Nenda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri hutajuta.
 
Kwa sifa hizo nami niungane na wale waliokushauri kujiunga na kanisa la Waadventista wa Sabato linakidhi hizo sifa zote na nyinginezo ambazo hujaziorodhesha
 
Liwe linasaidia Waamini kwa hali na mali ikiwemo kifedha badala ya lenyewe kukamua fedha waamini mpaka kutoka ngozi.
 
Kanisa ambalo limedhamiria kuishi maisha ya kumpendeza Mungu na Wanadamu badala ya kuvaa kama wanaenda night clubs na Mchungaji wala hakemei sababu ya kujali sadaka zaidi kuliko utaua na kuridhika [emoji108][emoji108][emoji108]
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!


Mi nalijua lipo moja ingawa sio la kikristo pekee mtu yoyote mwenye yafuatayo

hana Self consciousness
mwenye self esteem
hard work personality
ethical
unselfish, decent and honest person
noble person
self discipline and principled person

ukiwa na hayo hapo juu mengine yanayofanana na hayo basi utaweza kuishi katika mfumo ulioutaja hapo juu , huitaji kutegemea kikundi cha watu...

sababu hautapata kanisa unalolitaka ulivyovilist ni mfumo wa maisha sio taratibu za taasisi, zinaweza zikawa kwenye makaratasi ila belive me utekelezaji hautafika hata 50%

unless mkutane wote wenye vitu nilivyovitaja hapo juu ndo utapata hivyo ulivyolist.

ila sasa kila tasisi inaongozwa na principles... na kanisa muongozo wake mkubwa ni maswala
ya Mungu. so swala la nyie waumini wote kuwa na mindset ulizozitaja halipo sababu sio criteria zinazohitajika kwa mtu kujiunga na kanisa..

Mwisho Biblia inasema kanisa Sio jengo au tasisi, haya ya hapa duniani tu. Kanisa liko ndani yako.. ukikutana na mwingine mwenye maudhui kama yako basi ushatanua wigo wa kanisa lenu
 
Kanisa ni moja, katoliki la mitume.
Hili ndilo lililiweka liturujia inayofuatwa na makanisa yote yanayojiita ya kiroho.
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Tafuta Jumba la ufalme la mashahidi wa Yehova.

Utarudi kunishukuru
 
Liwe na gari ya kukutoa nyumban mpaka kanisani na kukurudisha tena
 
Back
Top Bottom