- Thread starter
- #21
5. Lisiwe kanisa linalotegemea mchungaji/ kiongozi mmoja!Ufufuo na uzima litakufaa tena askofu wake ni dr na anafufua na ni mwanasiasa na ni mchambaji mzuri nan akuzingue asifukunyue mafaili akuchambie adi uhisi umefika peponi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5. Lisiwe kanisa linalotegemea mchungaji/ kiongozi mmoja!Ufufuo na uzima litakufaa tena askofu wake ni dr na anafufua na ni mwanasiasa na ni mchambaji mzuri nan akuzingue asifukunyue mafaili akuchambie adi uhisi umefika peponi
Kanisa Catholic nalipenda ndo litanizika kwakweli😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise...mh😷
Lakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya wauminiKanisa Catholic nalipenda ndo litanizika kwakweli
Rudi kanisa ulilobatizwa.Maturubai siyo ishu cha mhimu hivyo vigezo 10 angalau viwepo
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Sidhani kama lipo....inawezekana vipi sehemu isiwe na uongozi5. Lisiwe kanisa linalotegemea mchungaji/ kiongozi mmoja!
Soma sheria za kanisa kabla hujafika kwenye conclusion.Lakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya waumini
Lipo kila karibu wilaya zote.Asante kwa ushauri, vipi wapo kila wilaya?
Mimi nakushahuri tuuu, hanzisha lakoo!!!!!! Kwani kabla ya hapo ulikuwa unasali wapi????Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yaani namaanisha kanisa lisiwe linabebwa na mtu mmojaSidhani kama lipo....inawezekana vipi sehemu isiwe na uongozi
Asante unaweza kunimegea sifa zenu japo kidogoKaribu SDA mkuu
Hasa masaliaKaribu SDA mkuu
Tuko timamu imani siyo kuaadhibu watu, sala kidogo na kadancee kidogo, hakuna stress😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise...mh😷
1. Adventist wasabato (SDA)Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Niko serious!1. Adventist wasabato (SDA)
2. Mashahidi wa Jehovah(JW)
Kwa hawa natumaini utapata huzo sifa kama upo serious
Ni kanisa ambalo halina time na mtu, halilazimishi mtu kusimama sjui atoe sadaka, halijui kupangia mtu mavazi hawachungulii leo flani kalala guest , mara flani hatoi sadaka, sjawai ona ubaguzi zaidi ya kuwa mshirika unayeshiriki ibada hasa za jumuia hata uwe maskini wa namna gani kanisa linakubeba kwa shida utakuwa nazo, ni taasisi inayotumia matoleo ya waumini wake kusaidia wasiojiweza, ntafia Roman Catholic wajameni licha ya mume wangu kuwa msabatoLakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya waumini