Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Jaribu kati ya hayo mawiliNiko serious!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu kati ya hayo mawiliNiko serious!
Kati ya madhehebu sjawai elewa ni hili licha ya kuolewa ktk familia iliyozaliwa na kutulia humo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ma mkwe ni shemasiKaribu SDA mkuu
Linabagua Na kutenga waumini kwa migongo ya sacrament, Halitoi huduma kwa baadhi ya watu pasipo kuwasaidia watoke waliko, halibatizi watoto hadi maoni ya jumuiya, Halina umoja wakati wa matatizoNi kanisa ambalo halina time na mtu, halilazimishi mtu kusimama sjui atoe sadaka, halijui kupangia mtu mavazi hawachungulii leo flani kalala guest , mara flani hatoi sadaka, sjawai ona ubaguzi zaidi ya kuwa mshirika unayeshiriki ibada hasa za jumuia hata uwe maskini wa namna gani kanisa linakubeba kwa shida utakuwa nazo, ni taasisi inayotumia matoleo ya waumini wake kusaidia wasiojiweza, ntafia Roman Catholic wajameni licha ya mume wangu kuwa msabato
Kanisa ni moja Takatifu(limeungana na watakatifu) Katoliki (universal )la Mitume (Mitume wa Yesu ndio makuhani wa kwanza) Lililoanzishwa na Kristu Mwenyewe siku ya pentekoste.Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Iman ni kama ulevi kama ujaruhusu akili yako kufunguka kila siku utasema konyagi ni tamu kuliko mirinda.Kati ya madhehebu sjawai elewa ni hili licha ya kuolewa ktk familia iliyozaliwa na kutulia humo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ma mkwe ni shemasi
Karibu MORAVIAN lipo mabibo dsm wilaya Ubungo. Pia lipo mikoa yote na wilaya zote TzKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Linashida ganiKati ya madhehebu sjawai elewa ni hili licha ya kuolewa ktk familia iliyozaliwa na kutulia humo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ma mkwe ni shemasi
1. Makanisa ya CCTKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
CCC-UPANGA lina kufaa ila linakosa sifsKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
CCC- TAG Upanga lina sifa zako ilaKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Sawa sawa mzee babaTuko timamu imani siyo kuaadhibu watu, sala kidogo na kadancee kidogo, hakuna stress
🤝Kanisa Catholic nalipenda ndo litanizika kwakweli
ondoka huko, hiyo ni cult.Kati ya madhehebu sjawai elewa ni hili licha ya kuolewa ktk familia iliyozaliwa na kutulia humo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ma mkwe ni shemasi
Yanamwabudu Mungu kupitia Yesu kama "Yesu alivyosema mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwangu ila kwa njia ya mimi?"Lililopo kila kila wilaya na lenye sifa hizo ni
1. Lutheran
2. Roman catholic
3. Anglican
hana kanisa na ni gasho aliyebobea .Nenda kwa nabii Tito
8. Liwe kanisa la watu wenye akili timamuNenda kwa nabii Tito
Sasa kuna taasisi isiyokuwa na sheria? Afu wanajumuia ni haohao masikini wakiwemo, kushiriki ibada za jumuia ndo kigezo kikubwa sasaLinabagua Na kutenga waumini kwa migongo ya sacrament, Halitoi huduma kwa baadhi ya watu pasipo kuwasaidia watoke waliko, halibatizi watoto hadi maoni ya jumuiya, Halina umoja wakati wa matatizo